Thursday, August 21, 2014

Mimi sipo!: Tim Sherwood jana ametangaza kuwa hatakuwa kocha Crystal Palace . TIM Sherwood amejitoa mwenyewe katika mbio za kuwa kocha mpya wa Crystal Palace. Kocha huyo wa zamani wa Tottenham Hotspur alikuwa anapewa nafasi kubwa ya kuteuliwa kuwa kocha mkuu wa Selhurst Park baada ya Malky Mackay kuondolewa katika kinyang'anyiro. Lakini Sherwood hajavutiwa kurithi mikoba ya...
Na Adam Mbwana, Dar es salaam Ilikuwa ni vita kali kati ya mafahali wawili ambao naweza kusema kila mmoja wao alikuwa na azimio tofauti kichwani mwake juu ya mwenzie. Vita hii huwezi kuifananisha na na zile za mwaka 1914 na 1939 ambazo ndio vita kubwa kuwahi kutokea duniani pale ambapo mataifa makubwa yalikuwa yalikuwa yakiwania utajiri kwa kutumia silaha kali na hatari duniani, lakini...
  Mshiriki Nambari 1 (Subira Ally). Mshiriki Nambari 2 (Hellen Eugen). Mshiriki Nambari 3 (Rehema Jabiry). Mshiriki Nambari 4 (Catheline Alex). Mshiriki Nambari 5 (Dalena David). Mshiriki Nambari 6 (Winfrida Guntram). Mshiriki Nambari 7 (Salama Salehe). Mshiriki Nambari 8 (Magdalena Majawa). Mshiriki Nambari 9 (Grace John). Mshiriki...
  Wachezaji wa Coastal Union wakiwa uwanja wa ndege Tanga wakipanda ndege kuelekea Pemba kwa ajili ya kuweka kambi ya Mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi kuu soka Tanzania bara, safari hiyo imedhaminiwa na wafadhili wa timu hiyokiwanda cha Unga mkoani Tanga Pembe.. ...
...
Kocha mkuu wa Simba sc Patrick Phiri akiongea na wachezaji wake Kocha mkuu wa Yanga akiongea na msaidizi wake Baraka Mpenja, Dar es salaam RATIBA ya ligi kuu soka Tanzania bara msimu wa 2014/2015 utakaoanza kutimua vumbi septemba 20 mwaka huu umeanikwa hadharani na Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF. Afisa habari na mawasiliano wa TFF, Boniface Wambura...
Maadalizi ya Miss Talents yatakayofanyika jumamosi tarehe 23 august ndani ya club kubwa ya desire        ...
Bondia Mohamed Matumla kushoto na Nassibu Ramadhani wakitunishiana misuli  Na Mwandishi Wetu MABONDIA Nassibu Ramadhani pamoja na Mohamed Matumla wameingia makubaliano ya kuzipiga kwa mara ya pili siku ya septemba 27 katika ukumbi wa Friends Corner Hotel Manzese Dar es salaam Akizungumzia mpambano huo mratibu wake Yassin Abdallah ‘Ostaadhi’ amesema mabondia...
  Majanga: Kiungo wa Arsenal, Mikel Arteta atakaa nje ya uwanja kwa mechi mbili zijazo. HABARI mbaya kwa mashabiki wa Asernal, Mikel Arteta atakaa nje ya uwanja katika mechi mbili zijazo baada ya kupata majeruhi ya kifundo cha mguu wakati wa mechi ya mtoano ligi ya mabingwa barani Ulaya jumanne ya wiki hii dhidi ya Besikta...
Walizinguana: Argentina Sergio Aguero na Marcos Rojo walitamkiana maneno makali katika fainali za kombe la dunia. MECHI ya watani wa jadi nchini England baina ya Manchester United na Manchester City “The Manchester derby” itakuwa na ladha tofauti msimu huu ambapo nyota...
Anawindwa: Roma wanaitaka saini ya Fernando Torres  ROMA wameulizia uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa Cheslea, Fernando Torres. Timu hiyo ya Italia, inaitaka saini ya mshambuliaji huyo wa Hispania, na watawashawishi The Blues kumchukua Mattia Destro kama sehemu ya dili hilo. Torres amekuwa na wakati mgumu tangu ajiunge Stamford Bridge kutokea Liverpool kwa ada kubwa...
Anaenda kuwa hivi: Mario Balotelli ametengenezwa akiwa amevalia jezi ya Liverpool. LIVERPOOL wamekubali kuilipa AC Milani ada ya uhamisho ya paundi milioni 16 ili kuinasa saini ya mshambiliaji wa Italia, Mario Balotelli. Mwezi uliopita, Brendan Rodgers alisema Liverpool haiwezi kumsajili Balotelli, lakini amebadili moyo wake. Mapema leo Balotelli aliwaambia Sky Italia: "Leo...

waliotembelea blog