,
Carles Puyol na Cesc Fabregas
Neymar Mapema!!!
Nyota wa klabu ya Barcelona wakiwa katika ndege tayari kwa safari yao
kuelekea nchini UIngereza kwa ajili ya mchezo dhidi ya Manchester City...
Tuesday, February 18, 2014


Baada
ya mara mbili kushindwa kuvuka Hatua ya Makundi ya UCL, Msimu huu
Manchester City wamemudu kuvuka hatua hiyo lakini sasa wapo kwenye lindi
la Vigogo wa Bara la Ulaya, Barcelona, ambao mashambulizi yao
yanaongozwa na Masupastaa wa Argentina na Brazil, Lionel Messi na
Neymar. Man
City walimaliza Kundi lao la UCL wakiwa nyuma ya Mabingwa Watetezi
Bayern Munich na watatinga kwenye...


Siku ya leo Mahakama kuu kanda ya Dar es
salaam ilikuwa ikimsomea shitaka mwigizaji maarufu wa Bongo Movie,
Elizabeth Michael LULU la kuua bila kukusudia msanii wa maigizo Steven
Kanumba mnamo April 07 mwaka 2012 eneo la Vatican Sinza jijini Dar es
salaam.
Lulu akiwa na Dr.Cheni pamoja na mama yake mahamani
Hata ivyo wakili anayemtetea LULU,
Peter Kibatala alisema kwamba wameridhishwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)