Tuesday, June 16, 2015

Mlinzi wa Borussia Dortmund na Ujerumani, Mats Hummels amefunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu, Cathy Fischer. Ndoa ya mshindi huyo wa kombe la dunia ambaye miezi ya karibuni amekuwa akihusishwa kujiunga na Manchester United alifunwga jana mjini Munich. Hummels mwenye miaka 26 alipigwa picha akiwa na mapambo yenye rangi ya jezi ya Borussia kwenye suti yake maridadi kabisa....
Timu ya taifa ya soka ya Uganda yenye wachezaji wanaocheza soka nyumbani imeanza maandalizi ya michuano ya mzunguko wa kwanza kufuzu kwa michuano ya Afrika CHAN itakayofanyika mwakani nchini Rwanda. Uganda inajiandaa kuchuana na Tanzania siku ya Jumamosi mchuano utakaochezwa katika visiwa vya Zanzibar. Kocha Milutin ‘Micho’ Sredojevic anasema baada ya mchuano wa mwishoni mwa juma lililopita...
    Kiungo wa zamani wa klabu ya Manchester United, Cleverley mchana wa leo alifunga pingu za maisha na mchumba wake wa muda mrefu Georgina Dorsett katika shughuli ya kifahari iliyofanyika huko Claridge.   Ndoa hiyo ilihudhuriwa na mastaa wengi wa soka akiwemo nahodha wa klabu ya Manchester United na England Wayne Rooney ambaye pia aliongozana na mkewe Coleen,...
Mshindi wa mbio za Acacia Tufanikiwe Pamoja Lake Zone Cycle Challenge, Masunga Duba aliyeinua mikono akishangilia mara baada ya kumaliza mbio hizo akiwa mbele ya wenzake. Mshindi huyo anatoka mkoa wa Shinyanga. Makamu wa rais wa Kampuni ya Uchimbaji wa dhahabu ya Acacia, Deo Mwanyika (wa kwanza kushoto) akifurahia jambo na Afisa Mkuu wa Uendeshaji wa kampuni ya Acacia, Mishel Ash,...
Ratiba ya Msimu mpya wa 2015/2016 wa Ligi Kuu England itatolewa Kesho Jumatano Saa 5 Asubuhi. Pamoja na Ratiba hiyo ya Ligi ya juu England pia zitatolewa Ratiba za Ligi za chini yake kwa Msimu huo mpya ambao unahusisha jumla ya Timu 92 kwa Madaraja yake yote. Chelsea ndio Mabingwa wa Ligi Kuu England walipotwaa Ubingwa wakiwa Pointi 8 mbele ya Timu ya Pili Manchester City waliofuatiwa...
AC Milan wamemteua Kocha wa zamani wa Serbia Sinisa Mihajlovic baada kumtimua Filippo Inzaghi. Mihajlovic, ambae ni Beki wa zamani mwenye Miaka 46, amesaini Mkataba wa Miaka Miwili na kibarua chake cha mwisho kama Kocha kilikuwa huko Sampdoria ambako aliondoka mwanzoni mwa Mwezi huu. Flippo Inzaghi, mwenye Miaka 41, alikuwa Mchezaji wa zamani wa AC Milan aliyoichezea kuanzia 2001 hadi...
Kenya  Bingwa mtetezi wa voliboli ya wanawake barani Afrika,Kenya, Wameishinda Algeria kwenye mechi yake ya pili huku Senegal wakizidi kuwika katika mashindano ya voliboli ya kombe la mataifa ya Afrika yanayoendelea jijini Nairobi Kenya. Nahodha wa Kenya Praxidis...
TIMU ya soka ya taifa, Taifa Stars leo imerejea nchini kutoka Misri ilipokwenda kucheza mechi ya kuwania kufuzu fainali za Kombe la Mataifa Afrika mwishoni mwa wiki iliyopita na kufungwa mabao 3-0. Kwa muda mrefu Stars haijapata matokeo mazuri kwenye mechi za kimataifa hali iliyofanya wachezaji wake kutoka uwanja wa ndege kwa mafungu huku wengine wakikwepa kuzungumza na vyombo...
Jokate (kushoto) akizungumza katika mkutano wa jukwaa la sanaa. Katikati ni katibu mkuu wa Chama cha  Waandishi wa Habari za Sanaa na Utamaduni nchini, (CAJAtz), Hassan Bumbuli na mbunifu mkongwe wa mavazi, Asia Idarous. Mbunifu mkongwe wa mavazi nchini, Asia Idarous (kulia) akisisitiza jambo katika mkutano wa jukwaa la sanaa. Katikati ni Katibu mkuu wa...
Wakala wa Fowadi wa Hoffenheim Roberto Firmino amethibitisha kuwa Mchezaji huyo anahamia England kwa ajili ya Msimu ujao. Roger Wittmann, ambae anamwakilisha Nyota huyo mpya anaewika kutoka Brazil mwenye Miaka 23, amekataa kutoboa waziwazi ni Klabu ipi Mchezaji wake huyo atakwenda ingawa hivi karibuni amehusishwa na kujiunga na Manchester United. Akiongea na Gazeti la Ujerumani, Bild, Wittmann...
Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu (kushoto), akiwa na Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Dk.Fenellah Mukangala (kulia) aliyekuwa mgeni rasmi katika fainali za mashindano ya Mtemvu CUP yaliyofikia tamati viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam jana. Timu zilizoingia ingia fainali hiyo ni Miburani Kata ya 15 na Kata ya 14 ambayo iliibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0. Mbunge...
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, Akifurahia mara baada ya kutua Bukoba na tayari kuwahutubia wakazi wa mji wa Bukoba leo wakati wa mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mashujaa/Uhuru Platform Bukoba leo Jumatatu tarehe 15 june, 2015. Kiongozi huyu ambaye amefuatana na viongozi wenzake wa juu wa chama hicho, yuko kwenye ziara ya kukitangaza chama na sera mpya ya azimio...

waliotembelea blog