
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akitia saini kwenye kitabu
cha kumbukumbu ya maombolezo ya Marehemu Jaji Mstaafu Samuel Luangisa
nyumbani kwake kwa marehemu Kitendagulo,mjini Bukoba mkoani
Kagera.Marehemu Luangisa ni miongoni mwa Waasisi wa Taifa na katika
vipindi tofauti tofauti alikuwa mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi
(Kagera),Mbunge na Meya wa Manispaa ya Bukoba pamoja...