Februari 14 wapendanao duniani
huitumia siku hii kusherehekea na wapendwa wao wakijumuika kula na
kunywa. Mjengwa blog tunakuletea historia fupi ya siku hii ya wapendanao
aka Valentine's day
Asili
ya siku ya wapendanao "Valentine's Day" ni St Valentine, mhubiri wa
kikristo aliyekuwa akiishi karibu na mji wa Roma katika karne ya tatu
wakati wa utawala wa Claudis...
Friday, February 14, 2014


FIFA Leo imetoa Listi ya Ubora Duniani
na zile Nchi 3 za Juu, Spain, Germany na Argentina, bado ziko pale pale
na Portugal kupanda nafasi moja na kukamata Nambari ya 4 huku Tanzania
ikipanda Nafasi mbili na kushika Nafasi ya 116. Brazil, Wenyeji wa
Fainali za Kombe la Dunia hapo Juni, wamepanda Nafasi moja hadi Nafasi
ya 9 lakini England imezidi kuporomoka na safari hii imeanguka...


Young
Africans kesho itashuka dimbani kucheza mchezo wa marudiano dhidi ya
timu ya Komorozine de Domoni ya Anjuan Visiwa vya Comoro katika mchezo
wa Klabu Bingwa Barani Afrika utakaofanyika mji wa Mitsamihuli kwenye
uwanja wa Sheikh Said Mohamed International kuanzia majira ya 9 kamili
mchana kwa saa za Afrika Mashariki.
Mara baada ya jana jioni kufanya mazoezi mepesi katika uwanja...


Thulani Serero
na
Ajax Amsterdam nyota Thulani Serero ilikuwa ni pamoja na katika Bafana
Bafana kikosi kwa uso 2014 Kombe la Dunia majeshi Brazil katika wa
kimataifa wa kirafiki juu ya Machi 5.
Serero akaanguka nje ya neema wakati wa Bafana ya Kombe la Dunia kufuzu madai kwamba alikuwa faked kuumia kufuatia.
Bafana Bafana kocha...


President
Dr.Jakaya Mrisho Kikwete shake hands with CCN’s Reporter Christiane
Amanpour shortly after an exclusive interview at CNN’s London Studios
this evening.During an interview on Illegal Wildlife Trade, President
Kikwete descibed the trade as “Madness and a very serious matter,” that
calls for joint effort to end the bloody trade.President Kikwete...
Subscribe to:
Posts (Atom)