Thursday, December 22, 2016

FIFA Leo hii imetoa Listi ya Ubora Duniani ambayo ni ya mwisho kwa Mwaka 2016 na Argentina wameendelea kushika Nambari 1 wakifuata Brazil. Tanzania imepanda Nafasi 4 na sasa ipo ya 156 kutoka ile ya 160 ya Mwezi uliopita. Mwezi Januari Mwaka huu Tanzania ilikuwa ya 126 na kupanda hadi 125 Mwezi Februari, kushuka 130 Aprili na kuyumba lakini Julai ikawa ya 123 na baada ya hapo mporomoko...
KIUNGO wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan Leo amezoa Tuzo yake ya 6 mfululizo kama Mchezaji Bora wa Mwaka kwa Nchi yake Armenia. Hii ni Tuzo yake ya 7 tangu avuke Umri wa Miaka 20 na kumfanya awemo kwenye Rekodi za Mastaa wa Dunia waliozoa mara nyingi Tuzo za aina hiyo. Anaeongoza kwa Tuzo aina hii kwa Nchi yake ni Mchezaji mwenzake Mkhitaryan huko Man United, Zlatan Ibrahimovic, ambae...
Straika wa Mabingwa wa England Leicester City anaechezea England Jamie Vardy sasa atakosa Mechi 3 baada ya Rufaa yake kupinga Kadi Nyekundu aliyopewa Jumamosi Leicester ikitoka 2-2 na Stoke City kutupiliwa mbali. Vardy, mwenye Miaka 29, atazikosa Mechi za Leicester dhidi ya Everton, West Ham na Middlesbrough. Vardy alitolewa nje na Refa Craig Pawson katika Dakika ya 28 kwa Rafu ya Miguu...
KILE Kifungo cha Real Madrid walichoshushiwa na FIFA cha kutosajili Wachezaji Wapya hadi Januari 2018 sasa kimepunguzwa na CAS, Court of Arbitration for Sport, Mahakama ya Usuluhishi Michezoni, na sasa wataruhusiwa kusajili Wapya kuanzia Julai, 2017. Awali FIFA iliwafungia Real kutosajili Wachezaji Wapya kwa Madirisha Mawili ya Uhamisho ikimaanisha yale ya Januari 2017 na Julai 2017 kwa...
Miss Puerto Rico Stephanie Del Valle is crowned after winning the Miss World 2016 Competition in Oxen Hill, Maryland, U.S., December 18, 2016. REUTERS/Joshua Roberts Miss Puerto Rico Stephanie Del Valle (C) reacts to being named Miss World as Miss Philippines Catriona Elisa Gray (L) and Miss Kenya Evelyn Njambi Thungu watch during the Miss World 2016 Competition in Oxen Hill, Maryland,...
RATIBA LIGI  KUU ENGLANDIjumaa Desemba 23 African Lyon v Yanga [Uhuru Stadium, Dar es Salaam]   Jumamosi Desemba 24 Mbeya City v Toto Africans [Sokoine, Mbeya] Kagera Sugar v Stand United [Kaitaba, Bukoba] Ndanda FC v Mtibwa Sugar [Nangwanda, Mtwara] Simba v JKT Ruvu [Uhuru Stadium, Dar es Salaam] Majimaji FC v Azam FC [Majimaji, Songea] Mwadui FC v Mbao FC [Mwadui Complex, Mwadui] Jumatatu...
RATIBA YA LIGI KUU ENGLAND BOXING DAY Jumatatu Desemba 2615:30 Watford v Crystal Palace 18:00 Arsenal v West Bromwich Albion 18:00 Burnley v Middlesbrough 18:00 Chelsea v Bournemouth 18:00 Leicester City v Everton 18:00 Manchester United v Sunderland 18:00 Swansea City v West Ham United 20:15 Hull City...

waliotembelea blog