Baada ya kuliteka na kulikamata vyema soko la muziki wa jana na hata
leo, Mwanamuziki mwenye mafanikio kutoka nchini Uganda Jose Chameleone
ameachia hewani mkwaju wake mpya na safari hii akivuka mipaka hadi
nchini Nigeria, na sasa ana mshirikisha msanii toka pale anaitwa Pato
Ranki...
Saturday, March 7, 2015



Ligi
Kuu ya Vodacom inatarajiwa kuendelea mwishoni mwa wiki kwa viwanja sita
kutimua vumbi, michezo mitatu ikifanyika siku ya jumamosi na michezo
mingine mitatu kufanyika siku ya jumapili.
Katika Uwanja wa Jamhuri mjini Morogoro, wenyeji timu ya Polisi
Morogoro watawakaribisha maafande wa Ruvu Shooting kutoka Mlandizi,
Coastal Union watakua wenyeji wa Kagera Sugar kwenye dimba la Mkwakwani,
...
Subscribe to:
Posts (Atom)