KEPTENI
wa Liverpool Steven Gerrard Jumamosi ataichezea Klabu yake kwa mara ya
mwisho Uwanjani kwao Anfield na Tiketi za Mechi hiyo zimefika Bei ya
Shilingi Milioni 4, 090, 680/=. Jumamosi Liverpool watacheza Mechi yao ya mwisho ya Ligi Kuu England Msimu huu Uwanjani kwao Anfield dhidi ya Crystal Palace.
Hii
Leo mtandao unaouza Tiketi kwa ajili ya Mechi hiyo, www.ticketbis.net
umeanika...
Friday, May 15, 2015


Waziri
wa Elimu na mafunzo ya ufundi Dkt.Shukuru Kawambwa akimkaribisha Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika uwanja wa michezo wa Jamhuri mjini
Dodoma kuongoza sherehe za kilele cha wiki ya Elimu kitaifa Mei
15,2015.
Balozi wa Chini nchini Tanzania,Lu Youging akizungumza jambo na Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika uwanja wa michezo wa Jamhuri...
Subscribe to:
Posts (Atom)