Monday, August 25, 2014

Wakongwe wa Klabu ya Real Madrid ya nchini Hispania wakipiga picha za kikundi cha ngoma kilichokuwa kikiwatumbuiza mara baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro kabla ya kuelekea Mlima Kilimanjaro.Wachezaji wakongwe wa Klabu ya Real Madrid wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa TANAPA mara baada ya kumaliza zoezi la matembezi mafupi ya kupanda Mlima Kilimanjaro. Waziri...
Di Maria akiingia kwenye imaya ya Man United kwenye sehemu yao ya Mazoezi Di Maria kwenye siti ya nyuma akiingia Di Maria Anaungana na Marcos Rojo, Ander Herrera pamoja na Luke Shaw ambao ndio tayari wamesainiwa na Man United Msimu huu wa 2014...
Stevan Jovetic akishangilia bao lake dakika ya 55 kipindi cha pili. Ni Stevan Jovetic huyo hyo ndie kazichana nyavu tena kwa kufunga bao la pili dakika ya 55 baada ya kupata pasi kutoka kwa Samir Nasri. Bao la tatu lilifungwa na Sergio Agüero dakika ya 69  kipindi cha pili baada ya kupata ushirikiano safi kutoka Jesús Navas González. Bao la Liverpool lilipatikana dakika ya 83 na ni...
Benzema aanza kufungua lango...1-0 Bao hilo lilifungwa dakika ya 30 kipindi cha kwanza. Bao la pili limefungwa na Cristiano Ronaldo katika dakika za majeruhi dakika 90 baada ya kuachia shuti kali lililomzidi ujanja kipa wa Cordoba. Ronaldo kwenye patashika.. Ronaldo chini akilalamika!Bale akimiliki mpira..huku akinyemelewa na Matos wa Cordo...
Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo  Jaji wa Shindano la Tanzania...
  Muonekano wa Jengo la Makao Makuu ya Kampuni ya Tropical.   Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kulia), akisalimiana na mwanasoka bora  mstaafu wa timu ya Real Madrid, Fernando Sons (kushoto), baada ya kufika na wenzake kuzindua duka jipya la vifaa vya umeme la Tropical lililopo maeneo ya Victoria Kinondoni Dar es Salaam jana. Katikati ni Christian Karembeu. Wakurugenzi ...
Vanessa Mdee a.k.a Vmoney akiimba jukwaani huku akiwa na staili yake ya kipekee kabisa Barnaba Boy akiimba juu ya jukwaa la Fiesta ndani ya uwanja wa Mkwakwani mkoni Tanga mwishoni mwa wiki Wadau nao walikuwepo kupata selfie ya Globu ya jamii ndani ya Fiesta. Linah akilinogesha jukwaa la Fiesta na wimbo wake wa Ole Temba. Kwa jijna la Kisanii anajiita Vmoney a.k.a Vanessa Mdee...

waliotembelea blog