WACHEZAJI WA MANCHESTER UNITED WAKIWA MAZOEZINI MAREKANI
Wachezaji wa Man United wakiwa mazoezini na hapa wakimsikiliza kwanza Meneja Van GaalKipa David de Gea nae ndani kwenye zoezi
Antonio na Ander Herrera wakinyonga!
DepayDepay na Bastian Mazoezini tayari kwa mitanange ya kujiandaa na msimu mpya 205/2016
No.1
Wayne Rooney na Michael Carrick kwenye zoezi Bastian Schweinsteiger...
Wednesday, July 15, 2015


Chuba Akpom(kushoto) akishangilia Hat-trick yake leo hii mbele ya Wasingapore.Mashabiki wa Arsenal 4-01-0
kipindi cha kwanza Dakika ya 30 Chuba Akpom anaifungia bao la kwanza
Gunners, Bao la pili lilifungwa kwa mkwaju wa penati na Jack Wilshere
kipindi cha pili dakika ya 60 na kufanya 2-0 dhidi ya wenyeji Singapore
kwenye mchezo wa Kirafiki jioni hii. Dakika ya 76 Chuba Akpom
aliifungia...
Subscribe to:
Posts (Atom)