Wednesday, September 9, 2015

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza Wayne Rooney, siku kadhaa nyuma alifikia rekodi ya mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya Uingereza Sir Bobby Charlton, usiku wa September 8 alivunja rekodi...
Msanii wa Bongo Flava Diamond Platnumz anazidi kuipeperusha bendera ya Tanzania, Tuzo nyingi sana zinazidi kutambua juhudi na kazi ya Diamond  kwenye muziki wa Tanzania. Good news kwako mtu wangu, mtu wetu Diamond Platnumz amepata...
Serena williams ameendelea kuwa bora zaidi duniani baada ya kumshinda dada yake Venus william katika mashindano ya US Open na kuzidi kusonga mbele. Serena ambaye anashika nafasi ya kwanza kwa rekodi bora duniani ameshinda dada yake kwa seti tatu ya 6-2 1-6 6-3 zilizompa nafasi ya...
Wakati mshambuliaji wa Italia na klabu ya AC Milan Mario Balotelli akiwa na wakati mgumu katika maisha yake ya soka, kwa kutokufanya vizuri msimu uliyomalizika katika klabu ya Liverpool kitu kilichochangia kutoitwa timu ya taifa. Mpenzi wake wa zamani Fanny Neguesha anaendelea kufurahia penzi lake jipya na Cheikhou Kouyate. Fanny...
Wayne Rooney alifunga penati dakika ya 84 na kufanya bao kuwa 2-0 dhidi ya timu ya Switzerland. Wayne Rooney amevunja rekodi ya Sir Bobby Charlton wa England baada ya kuifungia bao timu yake ya Taifa usiku huu kwa mkwaju wa penati.Kane akishangilia bao lake ...
Barcelona wamezoa Tuzo ya Klabu Bora Ulaya kwa Msimu wa 2014/15 iliyotolewa na Chama cha Klabu za Soka Ulaya, ECA(European Club Association). Tuzo hiyo kwa Barcelona imekuja baada ya wao kutwaa Trebo, yaani Ubingwa wa La Liga, Copa del Rey na UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu uliopita. Sherehe za utoaji Tuzo zilifanyika Jana huko Geneva, Uswisi na Tuzo nyingine walitwaa Klabu ya Ukraine FC Dnipro...
Mechi za Makundi ya EURO 2016, Kombe la Mataifa ya Ulaya, zinakamilika Leo kwa ile Raundi ya Mechi za Septemba na kubakisha Mechi 2 kwa kila Timu ambazo zitachezwa Mwezi ujao huku tayari Timu 3 zimefuzu kuingia Fainali. Fainali za EURO 2016 zitachezwa Mwakani huko France na Raundi hii ya Mechi imezifanya England, Iceland na Czech Republic waungane na Wenyeji France kwenye Fainali. Bado...
    . Unakumbuka ile ishu ya bondia wa ngumi Francis Cheka ya kumpiga na kumuumiza meneja wa baa yake akimtuhumu kusababisha hasara? Sasa good news ninayotaka kukusogezea ni kwamba bondia huyo wa mchezo wa masumbwi akiwa anatumikia kifungo cha nje kwa sasa anatarajia kwenda nchini Uingereza tarehe 15 mwezi huu kwenye...

waliotembelea blog