Mshambuliaji wa Simba, Hamisi Kiiza.
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinaendelea tena leo kwenye
viwanja vitano tofauti, huku miamba ya soka Yanga na Simba ikirejea tena
kusaka pointi tatu. Yanga ambayo kabla ya mechi ya Jumatano iliyotoka
sare ya mabao 2-2 na Mwadui FC Uwanja...
Saturday, October 31, 2015


LIONEL
MESSI WENDA AKAIKACHA SPAIN, KWENYE MIKAKATI YA KUJIFUNZA LUGHA YA
KIINGEREZA! CRISTIANO RONALDO NAE YALE YALE...MAN UNITED, PSG KWENYE
SAHANI MOJA ZIKIMHITAJI!
MCHAMBUZI
wa kuheshimika wa Soka la Spain amedokeza kuwa Mastaa wakubwa Nchini
humo, Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, wako mbioni kutimka na ipo
nafasi kubwa kwao kutua Ligi Kuu England. Akiongea na Jarida la
talkSPORT,...


Dar es Salaam. Bondia wa ngumi za
kulipwa, Francis Cheka atapanda ulingoni mjini Manchester Uingereza
Novemba 7 kupambana katika pambano lisilokuwa la ubingwa.
Akizungumza kwa njia ya simu jana, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya
Advance Security Limited, Juma Ndambile amesema kuwa Cheka anatarajia
kuondoka wiki ijayo kwa ajili ya pambano hilo. Ndambile ambaye ni
meneja wa Cheka,...


Barclays Premier League
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1Manchester City107121622
2Arsenal107121022
3West Ham United10622920
4Manchester United10622720
5Leicester City10541319
6Tottenham Hotspur10451817
7Crystal Palace10505115
8Southampton10352314
9Liverpool10352-214
10West Bromwich Albion10424-314
11Everton10343013
12Swansea City10343013
13Watford10343-213
14Stoke City10334-312
15Chelsea10325-411
16Norwich...


LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Oktoba 31 15:45 Chelsea v Liverpool 18:00 Crystal Palace v Man United 18:00 Man City v Norwich 18:00 Newcastle v Stoke 18:00 Swansea v Arsenal 18:00 Watford v West Ham 18:00 West Brom v Leicester Jumapili Novemba 1 16:30 Everton v Sunderland 19:00 Southampton v Bournemouth...


Theo
Walcott na Alex Oxlade-Chamberlain watazikosa Mechi kadhaa za Arsenal
kama ilivyothibitishwa na Meneja wa Klabu hiyo Arsene Wenger. Wachezaji
hao Wawili waliumia Jumanne iliyopita kwenye Mechi ya Raundi ya 4 ya
Capital One waliyofungwa 3-0 na Sheffield Wednesday. Oxlade-Chamberlain
aliumia Dakika ya 5 tu ya Mechi hiyo alipopata tatizo la Musuli za
Pajani na kubadilishwa...


Chelsea wana kibarua tena wikendi hii watakapowakaribisha nyumbani Liverpool kwenye Ligi ya Premia Jumamosi.Vijana
wa Jose Mourinho wamekuwa wakiandikisha matokeo mabaya msimu huu,
meneja huyo anakabilisha na shinikizo la kubadili mambo.Chelsea wameshinda mechi moja pekee kati ya sita walizocheza karibuni zaidi katika mashindano yote.
The
Blues wamefungwa mabao 19 Ligi ya Premia na ni Norwich...


Wafanyakazi wa kampuni ya Screen Masters Limited ya jijini Dar wakiendelea kulipamba basi la Mbeya City.
Basi la
klabu ya Mbeya City FC baada ya kupambwa na kampuni ya Screen Masters
Limited ya Dar es Salaam tayari kuanza shughuli ya kusafirisha wachezaji
wa timu hiyo kwa safari za ndani na nje ya Mbeya kwenye mechi
mbalimbali za Ligi Kuu Bara.
...


Kocha wa klabu ya Manchester United Louis van Gaal
ambaye wengi wamekuwa wakihoji juu ya mahusiano yake na wachezaji wa
timu yake pamoja na aina ya mbinu anazotumia kuifundisha timu hiyo,
October 30 amejibu kauli za kiungo wa zamani wa timu hiyo Paul Scholes ambaye October 29 aliponda mbinu...


Tukiwa bado katika muendelezo au mfululizo wa mechi mbalimbali za soka, naomba nikusogezee ratiba ya mechi za Ligi Kuu Tanzania bara, Uingereza na Hispania zitakazochezwa weekend hii, Ligi Kuu Tanzania bara October 31 na November 1 kutakuwa na jumla ya mechi nane, baada ya hapo Ligi Kuu Tanzania bara itasimama hadi December 12 hii inatokana...



Wakiingia katika basi tayari kwa msafara
Watumiaji
mbalimbali wa vyombo vya muziki wa msanii Wizkid wakiwasili katika
Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere tayari kwa shoo yao ya
leo katika Viwanja vya Leaders.
Huyo mwenye fulana nyeusi anaitwa Snipes ndio kiongozi wa bendi ya msanii Wizkid...
Subscribe to:
Posts (Atom)