Wakicheza
Ugenini Goodison Park, Man City walitoka nyuma kwa Bao 1-0 na kuifunga
Everton Bao 3-2 na kutwaa Uongozi wa Ligi Kuu England kwa kuwakamata
Liverpool kwa Pointi na wao kuongoza kwa ubora wa Magoli huku Mechi
zimebaki 2 Ligi kwisha. Dakika
ya 11 kipindi cha kwanza Everton walipata bao kupitia kwa Barkley baada
ya kupiga mpira kwenye umbali wa yadi 25 na kuzama mpaka nyavuni...
Sunday, May 4, 2014


Napoli
wameichapa Fiorentina Bao 3-1 na kutwaaTaji lao la 5 la Coppa Italia
kwenye Fainali iliyochelewa kuanza kwa Dakika 45 kufuatia Mashabiki
Watatu kupigwa risasi karibu ya Stadio Olimpico Mjini Rome, Italia
ambako Fainali hiyo ilichezwa.Bao
mbili za Mchezaji wa Kimataifa wa Italy, Lorenzo Insigne, ziliifanya
Napoli iende Mapumziko ikiwa Bao 2-1 mbele huku Bao la Fiorentina
likifungwa...
Subscribe to:
Posts (Atom)