Msanii Juma Nature ‘Kiroboto’ akizungumza katika mkutano na waandishi
wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu tamasha kubwa la kuadhimisha
miaka 16 ya kazi zake za muziki nchini pamoja na hitimisho la sherehe
za mwaka mmoja za Kituo cha Redio cha EFM linalofahamika kwa jina la
Komaa Concert litakalofanyika kwa mara ya kwanza Jumamosi Ukumbi wa Dar
Live Mbagala kuanzia saa 12...
Tuesday, May 26, 2015


Carlo
Ancelotti ametimuliwa kama Kocha wa Real Madrid baada ya kuiongoza kwa
Misimu Miwili na kuiwezesha kutwaa UEFA CHAMPIONZ LIGI kwa mara ya 10. Ancelotti,
Raia wa Italy mwenye Miaka 55 ambae Mkataba wake na Real ulitakiwa
kwisha mwishoni mwa Msimu ujao, Msimu uliopita alileta mafanikio Klabuni
hapo kwa kutwaa UEFA CHAMPIONZ LIGI na Copa del Rey na kisha kutwaa
Kombe la Klabu Bingwa...


Norwich
City Leo hii wamefanikiwa kurudi tena Ligi Kuu England baada ya
kuporomoka Msimu mmoja uliopita baada ya kuichapa 2-0 Middlesbrough kwenye Fainali ya Mchujo wa Timu 4 za Daraja la Championship iliyochezwa Uwanjani Wembley Jijini London. Mbele
ya Watazamaji 85,656, Norwich City walipiga Bao zao 2 ndani ya Robo Saa
ya Kwanza kwa Bao za Cameron Jerome alietumia vyema makosa ya Daniel...


Mabingwa
wapya wa England, Chelsea, Leo wamezunguka Mitaa ya London ya Magharibi
wakiwa juu ya Basi la Ghorofa la wazi wakiwa na Kombe lao la Ubingwa wa
Ligi Kuu England pamoja na Vikombe vingine Vitatu ambavyo Klabu hiyo
ilitwaa Msimu huu. Chelsea wametwaa Ubingwa huu wa England kwa mara ya kwanza baada ya Miaka Mitano.Baada
ya Jana kukabidhiwa Kombe la Ubingwa na kufanya sherehe Usiku...


West
Ham ilikubali kichapo kwenye mtanange wa kumalizia Msimu wa Ligi Kuu
England 2014-2015 ambapo West Ham ilichapwa 2-0 huko Saint James Park na
Newcastle ambao ushindi huo umewabakisha Ligi Kuu England, Klabu ya
West Ham imetangaza kusaka Meneja mpya baada kuamua kutoongeza Mkataba
wa Meneja wao Sam Allardyce. Allardyce,
maarufu kama Big Sam, alijiunga na West Ham 2011 wakati Timu...
Subscribe to:
Posts (Atom)