Msanii
wa muziki wa kizazi kipya,ambaye kwa sasa anafanya vyema kwenye anga za
muziki huo,Neylee akiimba kwa hisi jukwaani huu wakati tamasha la
Serengeti Fiesta likiendelea kwa shangwe ndani ya uwanja wa Sokonine.
Wakazi wa jiji la Mbeya wakiwa wamejitokeza kwa wingi usiku huu kwenye
tamasha la Serengeti Fiesta 2013 ndani ya uwanja wa Sokoine,ndio kwanza
shoo inaanza ambapo msanii aliyewahi...
Saturday, September 7, 2013



MTALII
mmoja raia wa Marekani, Thomas Macfee (58), ameuawa na kundi la tembo
wakati akiwa kwenye kambi ya Kakoi Tarangire eneo linalodaiwa kuwa ni
mapito ya asili ya wanyama hao.Kaimu
Kamanda wa Polisi mkoani Manyara, Musa Marambo, alisema kuwa tukio hilo
lilitokea Agosti 30 mwaka huu, saa 2:30 asubuhi baada ya mtalii huyo
akiwa na wenzake watano ambao majina yao hayakupatikana...



Miss Tanzania Brigitte Lymo kwasasa yuko nchini Indonesia kwa ajili ya
kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya Miss World 2013
yanayotarajiwa kufanyika mwezi huu.
Akiwa na Miss Uganda
Miss Switzerland,Slovakia,Turkey,Vietnam,Czech rep,Guyana,Trinidad and Tobago at diinnneerrr
Miss Trinidad and Tobago, Miss Guyana,Miss Tanzania!
vietnam,...



Salam kwa wana jamvi wote!Napenda kutoa funzo moja hapa! Ila sio msimulizi mzuri sana lakini naamini nitaeleweka tuuu....Mimi na rafiki yangu ambaye tumekuwa marafiki baada ya kuajiriwa siku moja hapa jijini!Kwa kweli, bila hata kumaliza mwenzi mmoja the big boss akaanza kutupa mawe kwa rafiki yangu huyu ila hakuniambia kama boss anataka kungonoka! Ila binti akamtolea nje!!Alipo ona...
Subscribe to:
Posts (Atom)