Tuesday, February 21, 2017

Kocha wa Man United Jose Mourinho kuelekea mchezo wao wa marudiano wa Europa League dhidi ya St Etienne ya Ufaransa, ameulizwa maswali kuhusu hatma ya nahodha wa Man United Wayne Rooney kama ataondoka katika timu hiyo au atabaki. Jose Mourinho ambaye inaaminika ndio anaweza akafanya Rooney aondoke...

waliotembelea blog