Monday, September 16, 2013

Tukiingia eneo la tukio sambamba with my blood.Rommy J.  Siku ya Jumamosi usiku ilikuwa ni hitimisho la tour ya  washindi wa Kili music awards,ambapo inshu nzima ili hapen kwenye viwanja  vya Leaders club,Dar es salaam.President  wa WCB Wasafi nilikuwepo pia,niliitumia fursa hiyo  kukata kiu ya wapenzi wa music wangu,nikiwa sambamba na  team yangu...
 Malkia wa Zouk nchini Hafsa Kazinja akiwa na Omari Mkali (kushoto) na Abdul Salvador baada ya kukamilisha kurekodi wimbo wa 'NIMUOKEOE NANI' katika Studio za OM Productions jijini Dar es salaam wikiendi hii.    Baada ya ukimya wa muda mrefu,   Malkia wa Zouk Tanzania,  Hafsa Kazinja,  anaibuka upya katika fani akiwa na ingizo lake la kwanza kati  ya...
0 ...

waliotembelea blog