Thursday, February 20, 2014

aliyekuwa msanii maarufu wa maigizo hapa nchini Dokii ambaye sasa anajishughulisha na sanaa ya muziki hasa katika mambo ya siasa sasa yupo katika manispaa ya Iringa tayari kwa kuwapa burudani mashabiki wake hasa wale wa CCM kwa kuwa ameenda katika eneo hilo kwa sababu ya kampeni...
...

waliotembelea blog