Saturday, June 7, 2014

JANA, kwenye Mechi ya Kirafiki huko Die Coface Arena, Jijini Mainz, Germany,Miroslav Klose aliweka Rekodi ya kuwa Mfungaji Bora wa Germany ambayo iliifunga Armenia Bao 6-1 lakini imekumbwa na wasiwasi baada kuumia Mchezaji wao Marco Reus. Klose, mwenye Miaka 35, alitoka Benchi na kufunga Bao lake la 69 kwa Germany na kumfanya awe ndie Mfungaji Bora wao katika Historia. Marco Reus...

waliotembelea blog