Na Father Kidevu BlogWanyange
30 wanao wanbia taji la Redd's Miss Tanzania 2014 leo wameingia kambini
tayari kwa safari ya fainali za Miss Tanzania 2014 zitakazo fanyikia
mapema mwezi Oktoba jiji Dar es Salaam.Warembo hao waliowasdili kwa
muda tofauti kuanzaia saa 12 alfajiri ya leo na kupokelewa na waandaaji
wa Miss Tanzania katika hoteli ya JB Belmont iliyopo katikati ya jiji la
maraha...
Sunday, September 14, 2014



Na baraka Mbolembole, Dar es Salaam,
Salum Telela alifunga bao pekee kwa kuunganisha
krosi ya mshambulizi Didier Kavumbangu na kuisaidia timu yake kupata ushindi wa
bao 1-0 katika mchezo wa Ngao ya Jamii, mwaka uliopita.. Kelvin Yondan, Nadir
Haroub, Saimon Msuva, ni wachezaji pekee ambao wanaweza kuanza moja kwa moja
katika kikosi cha kwanza cha Mwalimu, Marcio Maximo. Mfungaji wa mwaka...


Bondia
Elick Mwenda kushoto wa Malawi akikwepa ngumi wakati wa mpambano wake
na bondia Allybaba Ramadhani uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita
Allybaba alishinda kwa pointi mpambano huo
Bondia
Raymond Mbwago kushoto akipambana na Iddi Pialali wakati wa mpambano wao
uliofanyika Moshi katika ukumbi wa YMCA Hall Pialali alishinda kwa K,O
ya raundi ya Nne
Allybaba...



Wachezaji wa Simba na Ndanda FC wakiingia Uwanjani wakati wa mchezo
wa maalum wa kusherehekea Ndanda Day uliofanyika leo kwenye Uwanja wa
Nangwanda Sijaona mjini Mtwara na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), kupitia mpango wake wa Wakulima Scheme. Timu
hizo zilitoka suluhu. (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali mstaafu Joseph Simbakalia akisalimia...
Subscribe to:
Posts (Atom)