Thursday, January 29, 2015

LIGI KUU ENGLANDRATIBA:Jumamosi Januari 3115:45 Hull v Newcastle 18:00 Crystal Palace v Everton 18:00 Liverpool v West Ham 18:00 Man United v Leicester 18:00 Stoke v QPR 18:00 Sunderland v Burnley 18:00 West Brom v Tottenham 20:30 Chelsea v Man City Jumapili Januari 1816:30 Arsenal v Aston Villa...
Ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) upo nchini kuchunguza tuhuma za upangaji matokeo. Waamuzi waliosimamishwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) pamoja na watu wengine watahojiwa na ujumbe huo. Matokeo ya uchunguzi huo yatatangazwa na FIFA baada ya shughuli hiyo kukamilika. Tunaendelea kuwahimiza wanafamilia wa mpira wa miguu wazidi kuzingatia kanuni...
Cuadrado To Join Chelsea This WeekChelsea are set to complete the transfer of Fiorentina winger Juan Cuadrado "within the next 48 hou...
2-3(Ag 2-4) ndivyo majibu yalivyokuwa mpaka dakika ya mwisho ya dakika ya 90 na Barca kuibuka na Ushindi huku mchezaji wao matata Neymar akiifungia bao 2.Neymar aliwafungia bao la tatu Barcelona baada ya kuwachomoka mabeki wa Atletico Madrid kwa kuwakacha na Jordi Alba kutoa pasi aliyoimalizia Langoni Neymar katika dakika ya 41.Bao la kusawazisha Barca wamejifunga wenyewe Atletico Madrid...

waliotembelea blog