Tuesday, July 9, 2013

MAKAMANDA WA CHADEMA WANAOKABILIWA NA KESI YA UGAIDI WAREJESHWA RUMANDE-TABORA  Makamanda watano wa Chadema wakiingizwa ukumbi wa mahakama ya hakimu mkazi mkoani Tabora kufuatia kesi ya Ugaidi inayowakabili akiwemo kaimu Katibu wa Chama hicho mkoa wa Dar-es-Salaam Bw.Henry Kileo aliyeshika Kitabu mkononi.  Wanachama watano wa chama cha Demokrasia na Maendeleo-...
Hii ndio picha ya kwanza ya Amber Rose na Wiz Khalifa baada ya kufunga ndoa. Mastaa Amber Rose na rapper Wiz Khalifa wamefunga ndoa rasmi jana July 8 2013 na sasa ni Mr.  and Mrs. Thomaz ambapo muda mfupi baada ya ndoa Amber alitweet “Yay me and my baby are officially married!!!” na kuweka hiyo picha instagram iliyokua na maneno yanasema  ...
Picha: Uwanja wa ndege wa Oliver R. Tambo jijini Johanesburg walipokamatwa Agnes na mwenzake wakiwa na madawa ya kulevya.                   ...
  AGNESS MASOGANGE AKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA AFRIKA KUSINI  HATIMAYE  wale Wanawake wawili walionaswa  na  madawa ya  kulevya  Afrika  kusini wametambuliwa kuwa  ni  mabinti  wa  KITANZANIA .. Mabinti  hao  wanadaiwa kuingiza shehena ya dawa za kulevya zenye thamani ya zaidi ya Sh. bilioni 6.8 nchini Afrika Kusini...
NANDO NA FEZA KESSY WAENDELEA KUPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA NDANI YA BIG BROTHER......HAKUNA ALIYEINGIA KIKAANGONI   Wiki hii Watanzania na mashabiki wa shindano la Big Brother Africa hawana haja ya kuwa wasiwasi ya kuwaokoa washiriki wao kwakuwa Nando na Feza Kessy wako safe.  Kilichobaki ni kuvuta tu viti virefu na kuendelea na bata huku tukiwaangalia wengine wakihaha...

waliotembelea blog