Alvaro Negredo akishangilia bao lake katika dakika za mwishoni mwa kipindi cha kwanza.
Mchezaji wa City Edin Dzeko akijaribu kuwatoka mabeki wa Blackburn.
Bao la City limefungwa dakika ya
mwishoni kipindi cha kwanza kupitia mchezaji wao Negredo baada ya
kupigwa mpira wa kona na hatimaye Negredo kuupata ukiwa umepoa na
kuunganisha hadi langoni. City wameeenda mapumziko...
Saturday, January 4, 2014


La Liga ya Spain na Serie A ya Italy,
zinarudi tena dimbani Wikiendi hii baada kuwa Mapumzikoni kwa ajili ya
Krismasi na Mwaka Mpya.
Lionel Messi kwenye mazoezi leo Catalan capital
Wakati La Liga itachezwa kuanzia Jumamosi Januari 4, Serie A itaanza Jumapili Januari 5. Kwa
Wapenzi wa La Liga, habari njema ni kupona kwa Mchezaji Bora Duniani
anaecheza Klabu ya FC Barcelona, Lionel Messi,...
Subscribe to:
Posts (Atom)