Sina mbavu mieee nipisheeee!!! Chicharito baada ya kuizima Atletico Madrid usiku huu!Chicharito
akishangilia bao lake la pekee baada ya kuifungia na kuipa Ushindi Real
usiku huu dhidi ya Atletico Madria kwenye marudiano ya Klabu Bingwa
Ulaya. Bao hilo limewapeleka Real Madrid Nusu Fainali ya 31 na Droo ya
Nusu Fainali itachezeshwa Ijumaa ya wiki hii.Javier
Hernández aliwafungia bao Real...
Wednesday, April 22, 2015



Wakwanza
kulia ni Meneja Masoko wa Airtel Tanzania Aneth Muga akiwa ameshilia
bango linaloonyesha huduma mpya ya Airtel Wi-Fi intaneti maalum kwa
wanavyuo iliyozinduliwa rasmi kwa mara ya kwanza Mwanza katika chuo cha
St Augustine (SAUT) pamoja nae anaefuata ni raisi wa serikali ya
wanafunzi Sogone Wambura, Mshauri wa wanafunzi chuoni hapo bw,Liberates
Ndegeulaya...


Dakika
90 zilimalizika kwa 0-0, Juventus wakasonga mbele hatua ya Nusu Fainali
baada ya Ushndi wao wa kwanza wa bao 1-0 kuwabeba mpaka leo.Mchezo
umemalizika dakika 90 bila kufungana na kuumaliza kwa sare ya nguvu
sawa ya 0-0, Ushindi wa Kwanza wa Juventus wa bao 1-0 dhidi ya As Monaco
ndio umekuwa nguzo kwao Juve baada ya leo kwenye marudiano kutoshana
nguvu.
VIKOSI:Monaco: Subasic, Fabinho,...


Robin van Persie Jana alicheza Mechi
yake ya kwanza tangu apone Enka yake wakati Kikosi cha Vijana wa chini
ya Miaka 21 wa Manchester United walipotoka Sare 1-1 na wenzao wa
Leicester City katika Mechi ya Ligi ya Vijana ambayo Man United ndio
Vinara. Jumamosi Van Persie alikuwa Benchi wakati Man United
inacheza huko Stamford Bridge Mechi ya Ligi Kuu England na kufungwa 1-0
na Chelsea...


Kutoka
kushoto ni Juma Herman(meneja wa Green Palm Hotel, Issaya Mwakilasa aka
Wakuvwanga, Jhikolabwino Manyika, Kelvina John, Mwenyekiti Masoud
Kipanya na Tonny Alphonce(Mtangazaji Metro fm 99.4
Siku ya Ijumaa ya tarehe 17/04/2015 ujumbe wa Imetosha Foundation
ukiongozwa na Mwenyekiti Masoud Kipanya ulifanya mahojiano katika kituo
cha redio cha Metro Fm 99.4 kwenye kipindi cha Pambazuko...


Nyema akipongezwa kwa kuifungia Barca bao mbili usiku huu dhidi ya PSG.Neymar dakika ya 34 aliifungia Barca bao la pili na kufanya 2-0 dhidi ya PSG kwa kichwa baada ya kuunganisha mpira uliopigwa Daniel
Alves. Kipindi cha pili hakuna aliyeliona lango l mwenzake Timu
zilishambuliana mara kwa mara. Ushindi huu Barca wanasonga hatua ya Nusu
Fainali kwenda kukamilisha Timu Nne za Nusu Fainali...


Robert
Lewandowski dakika ya 40 tena alifunga bao jingine na kufanya 5-0 baada
ya kupata pasi kutoka kwa Thomas Müller. Hadi mapumziko Bayern
walikuwa mbele ya bao 5-0 dhidi ya Timu ya FC Porto. Raha iliyokuwa ikisubiriwa na Mashabiki!! Thomas Müller akishangilia na mwenzake.Thiago Fc Porto Chalii!! Ushindi wa gemu ya kwanza wameivurunda!! hoi!Hii ndiyo raha ya kuwa Meneja!!...
Subscribe to:
Posts (Atom)