RATIBA: Jumanne Februari 10 22:45 Hull vs Aston Villa 22:45 Sunderland vs QPR 22:45 Arsenal vs Leicester 23:00 Liverpool vs Tottenham Jumatano Februari 11
22:45 Southampton vs West Ham 22:45 Stoke vs Manchester City
22:45 Chelsea vs Everton 22:45 Manchester United vs Burnley 23:00 Crystal Palace vs Newcastle
23:00 West Brom vs Swansea...
Monday, February 9, 2015


Vijana
wakifanya yao kwenye Uzinduzi jana jumapili tarehe 8 Feb, 2015. Ukiwa
ni Uzinduzi maalum wa Shindano hilo la Nani Mkali Bukoba. Shindano
linalokutanisha Makundi 10. Makundi matatu ya Kina Dada na makundi 7 ya
Upande wa Vijana, Ikiwa ni Wasanii wa kucheza na Kuigiza.
Majaji.
Vijana
wakiendelea kutoa burudani kwenye Uzinduzi wa Shindano la Nani Mkali
Bukoba yaliyofnguliwa jana Jumapili...


Kipa
Nambari Wani wa Manchester United David De Gea, yupo kwenye mazungumzo
na Klabu yake kuhusu kupewa Dili mpya na wala hajafikia makubaliano na
Real Madrid kuhamia huko Spain.
Habari hizi zimetobolewa na Wakala wa
Kipa huyo kutoka Spain, Jorge Mendes, ambae ametupilia mbali dhana kuwa
amekubaliana na Real Madrid kujiunga nao. Hivi sasa De Gea, mwenye
Miaka 24 na ambae pia ni Kipa...


TFF Leo imetoa Ratiba yenye marekebisho
kidogo ili kuzipisha Klabu za Azam FC na Yanga kushiriki vizuri michuano
ya Klabu ya CAF Barani Afrika.
Azam inacheza Ligi ya Mabingwa, CAF
CHAMPIONS LIGI, na itaanzia Nyumbani Februari 15 kwa kuikaribisha El
Merreikh ya Sudan kwenye Uwanja wa Azam Complex Jijini Dar es Salaam
wakati Yanga itacheza michuano ya CAF ya Kombe la Shirikisho na...



MSIMAMO ULIVYO KWA SASA:
PosLogo &TeamPWDLGDPts
1Chelsea2417523356
2Manchester City2414732349
3Southampton2414372145
4Manchester United2412841744
5Tottenham Hotspur241347643
6Arsenal2412661842
7Liverpool241167639
8West Ham United241077837
9Swansea City24978-334
10Stoke City24969-233
11Newcastle United24879-631
12Everton24699-327
13Crystal Palace246810-826
14Sunderland244128-1224
15West...
Subscribe to:
Posts (Atom)