FC Barcelona na Neymar zinakaribia kusaini Mkataba mpya ambao utamfanya Kepteni huyo wa Brazil kuzoa Euro Milioni 15 kwa Msimu. Donge
hilo nono litamfanya awe Mchezaji wa 3 Duniani anaelipwa Mshahara wa
juu kabisa akiwa nyuma ya Lionel Messi na Cristiano Ronaldo. Hivi sasa Neymar inasemekana analipwa Euro Milioni 8.8 kwa Mwaka. Habari
hizi zimetobolewa na Jarida la Marca huko Spain ambalo...
Thursday, November 26, 2015


Jana klabu ya Manchester City ilikubali kipigo cha bao 1-0 dhidi ya Juventus ikiwa ni ligi ya mabingwa Ulaya.
Kiungo wa Juve Paul Pogba
jana usiku alionesha uzalendo kwa taifa lake hilo baada ya kuvalia
viatu maalumu vyenye rangi ya bendera ya Ufaransa kama sehemu
ya kuwaenzi wahanga wa shambulio la kigaidi lililotokea katika jiji...
Subscribe to:
Posts (Atom)