Tuesday, August 5, 2014

Washiriki wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.Wanyange 20 kuchuana jukwaani kutafuta mshindiWarembo wakiwa kwenye picha...
BENDI mpya inayotamba kwa sasa hapa nchini na ambayo imechukuwa tuzo mbalimbali za muziki hapa nchini (MASHUJAA BAND) Alhamisi 14 inatarajia kushuka hapa Mjini Bukoba katika ukumbi wa LINA'S NIGHT CLUB kuwapa burudani wakazi wa Mji huu na vitongoji vyake.Akiongea na Mwaandishi wa Bukobasports.com Mc Jerry kwa jina maarufu hapa Bukoba amesema Bendi hiyo itatua hapa Mjini kwa ajili Burudani...
Mashindano ya Jumuiya ya Madola yamemaliza katika mji wa Glasgow nchini Scotland huku mji huo ukimiminiwa sifa kem kem na Mkurugenzi Mkuu wa Shirikisho la Mashindano ya Jumuiya ya Madola Mike Hooper kwa kuandaa mashindano hayo.Baada ya siku 11 ya matukio mbali mbali ya michezo 17 hatimaye sherehe za ufungaji wa mashindano zilifanyika katika uwanja wa Hampden Park siku ya Jumapili usiku...
Mashindano ya Jumuiya ya Madola yamemaliza katika mji wa Glasgow nchini Scotland huku mji huo ukimiminiwa sifa kem kem na Mkurugenzi Mkuu wa Shirikisho la Mashindano ya Jumuiya ya Madola Mike Hooper kwa kuandaa mashindano hayo.Baada ya siku 11 ya matukio mbali mbali ya michezo 17 hatimaye sherehe za ufungaji wa mashindano zilifanyika katika uwanja wa Hampden Park siku ya Jumapili usiku...
Wayne Rooney (kushoto) akiwa amebeba Kombe na mwenzie baada ya kuifunga Timu ya Liverpool bao 3-1 usiku wa kuamkia leo Kipndi cha pili Dakika ya 55 Wayne Rooney aliwasawazishia bao kwa kufanya 1-1 na baadae katika dakika ya 57 Juan Mata liwapachikia bao la kuongoza na kufanya 2-1 dhidi ya Majogoo Liverpool. Dakika ya lala salama ya 88, Jesse Lingard anaongeza bao la tatu na kufanya 3-1...
Julio Grondora enzi za uhai wake Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora. Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa...
Afisa habari na mawasiliano wa TFF, Boniface Wambura Mgoyo BAADA ya Yanga sc kuenguliwa kushiriki michuano ya klabu bingwa kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati , maarufu kama Kombe la Kagame, kwa kugoma kupelekea kikosi cha kwanza kama walivyoagizwa, Shirikisho la soka Tanzania TFF, limesema klabu hiyo ina haki kutoshiriki mashindano kama inaona haijajiandaa. Afisa habari na mawasiliano...
Wamekutana: Cristiano Ronaldo na James Rodriguez wakitoa dole kuashiria mambo 'supa' wakati wa mazoezi ya Real Madrid. MWANASOKA BORA wa dunia, Cristiano Ronaldo amekutana na kijana mpya wa Real Madrid James Rodriguez katika mazoezi ya klabu hiyo mjini Madrid nchini Hispania. Rodriguez  alijiunga na mabingwa hao wa Ulaya kutokea klabu ya Monaco kwa dau la paundi milioni...

waliotembelea blog