Washiriki
wa shindano la Redd’s miss Kinondoni 2014 wakiwa katika picha ya pamoja
kwenye mazoezi yanayofanyika kwenye Hotel ya Picolo jijini Dar es
Salaam, Jumla ya warembo 20 wapo mazoezini kujiandaa na shindano
litakalofanyika ijumaa 15/08/2014 katika Fukwe za Escape One kwa
kiingilio cha 10,000 na 30,000 kwa VIP.Wanyange 20 kuchuana jukwaani kutafuta mshindiWarembo wakiwa kwenye picha...
Tuesday, August 5, 2014


BENDI
mpya inayotamba kwa sasa hapa nchini na ambayo imechukuwa tuzo
mbalimbali za muziki hapa nchini (MASHUJAA BAND) Alhamisi 14 inatarajia
kushuka hapa Mjini Bukoba katika ukumbi wa LINA'S NIGHT CLUB kuwapa
burudani wakazi wa Mji huu na vitongoji vyake.Akiongea na Mwaandishi
wa Bukobasports.com Mc Jerry kwa jina maarufu hapa Bukoba amesema Bendi
hiyo itatua hapa Mjini kwa ajili Burudani...


Mashindano
ya Jumuiya ya Madola yamemaliza katika mji wa Glasgow nchini Scotland
huku mji huo ukimiminiwa sifa kem kem na Mkurugenzi Mkuu wa Shirikisho
la Mashindano ya Jumuiya ya Madola Mike Hooper kwa kuandaa mashindano
hayo.Baada
ya siku 11 ya matukio mbali mbali ya michezo 17 hatimaye sherehe za
ufungaji wa mashindano zilifanyika katika uwanja wa Hampden Park siku ya
Jumapili usiku...


Mashindano
ya Jumuiya ya Madola yamemaliza katika mji wa Glasgow nchini Scotland
huku mji huo ukimiminiwa sifa kem kem na Mkurugenzi Mkuu wa Shirikisho
la Mashindano ya Jumuiya ya Madola Mike Hooper kwa kuandaa mashindano
hayo.Baada
ya siku 11 ya matukio mbali mbali ya michezo 17 hatimaye sherehe za
ufungaji wa mashindano zilifanyika katika uwanja wa Hampden Park siku ya
Jumapili usiku...


Wayne Rooney (kushoto) akiwa amebeba Kombe na mwenzie baada ya kuifunga Timu ya Liverpool bao 3-1 usiku wa kuamkia leo
Kipndi
cha pili Dakika ya 55 Wayne Rooney aliwasawazishia bao kwa kufanya 1-1
na baadae katika dakika ya 57 Juan Mata liwapachikia bao la kuongoza na
kufanya 2-1 dhidi ya Majogoo Liverpool. Dakika
ya lala salama ya 88, Jesse Lingard anaongeza bao la tatu na kufanya
3-1...


Julio Grondora enzi za uhai wake
Rais
wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia
salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu
(FIFA), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio
Grondora.
Amesema
yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla
wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa...


Afisa habari na mawasiliano wa TFF, Boniface Wambura Mgoyo
BAADA ya Yanga sc kuenguliwa kushiriki michuano ya
klabu bingwa kwa ukanda wa Afrika mashariki na kati , maarufu kama Kombe la
Kagame, kwa kugoma kupelekea kikosi cha kwanza kama walivyoagizwa, Shirikisho
la soka Tanzania TFF, limesema klabu hiyo ina haki kutoshiriki mashindano kama
inaona haijajiandaa.
Afisa habari na mawasiliano...


Wamekutana: Cristiano Ronaldo na James Rodriguez wakitoa dole kuashiria mambo 'supa' wakati wa mazoezi ya Real Madrid.
MWANASOKA BORA wa dunia, Cristiano Ronaldo amekutana na kijana mpya wa Real Madrid James Rodriguez katika mazoezi ya klabu hiyo mjini Madrid nchini Hispania.
Rodriguez alijiunga na mabingwa hao wa
Ulaya kutokea klabu ya Monaco kwa dau la paundi milioni...
Subscribe to:
Posts (Atom)