Tuesday, January 7, 2014

David Moyes, meneja wa Manchester United Kocha Mkuu wa Klabu ya Manchester United ya England, David Moyes amesema angependa kusajili baadhi ya wachezaji kuimarisha kikosi chake lakini ana wasi wasi huenda asiweze kuwapata wachezaji hao katika usajili wa dirisha dogo mwezi huu wa Januari. ...
Chama cha UKIP kinachopinga swala la uhamiaji kinasemekana kuungwa mkono sana Zaidi ya robo ya raia wa Uingereza wanataka kuona swala la uhamiaji likikomeshwa. Hii ni kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na BBC. ...

waliotembelea blog