
Mkurugenzi wa bendi, Isha Mashauzi akilikabili jukwaa vilivyo.
Bendi ya Taarab inayokimbiza mjini,
Mashauzi Classic usiku wa kuamkia leo ilikamua kinoma katika ukumbi wa
Lina's Night Club Bukoba Mjini. Kiongozi wa Mashauzi Classic, Isha Makongo akiliongoza kundi lake kutoa burudani katika Ukumbi wa Lina's Night Usiku huuBaadhi
ya Waimbaji wa Kundi hilo la Mashauzi Classic wakiwajibika...