Thursday, September 10, 2015

Matarajio yalikuwa ni kwamba Steven Gerrard atarejea Liverpool kwa mkopo Mei, mwakani. Lakini inaonekana hilo halitakuwepo na kiungo huyo nyota wa zamani wa Liverpool, mwenye miaka 35 sasa, ataendelea kubaki na klabu yake mpya ya LA Galaxy. Kawaida wachezaji wengi wanaokwenda kucheza Marekani wamekuwa wakirejea England kwa mkopo. Lakini Kamishna wa Ligi Kuu Marekani (MLS),...
Mchezaji mpya wa Manchester city, Kevin De Bruyne amekutana na wenzake kwa mara ya kwanza baada ya kuanza mazoezi arasmi jana. Mchezaji huyo amekutana na wenzake katika uwanja wa mazoezi huku akionekana ni mwenye furaha. City imemnunua raia huyo wa Ubelgiji kwa kitita cha pauni milioni 52 na kumfanya kuwa mmoja wa wachezaji ghali duniani. Je,...
MAYWEATHER NA BERTO...  Floyd Mayweather ameeeleza kwa nini aliamua kutomchagua bondia Mwingereza, Amir Khan katika pambano la 49. Mayweather amechagua kuzichapa na Andre Berto katika pambano litakalopigwa Jumapili. Swali hilo limetokana na tiketi kutokuwa zimenunuliwa na haki za runinga kutogombewa hadi sasa wakati inaonekana siku zimeisha. Khan alionekana...
SASA ndiyo imekuwa gumzo, binti wa Hans van der Pluijm na Jose Mourinho, nani mkali? Makocha wote wawili ni raia wan chi za bara la Ulaya, Ureno na Uholanzi. Wote timu zao ni mabingwa wa nchi. Jose Mourinho ambaye aliingoza Chelsea kutwaa ubingwa wa England msimu uliopita anaonekana akiwa katika picha akiwa na binti yake walipokwenda kuhudhuria tuzo. Pluijm, anaonekana...
Azam Media Limited imeingia mkataba wa miaka minne na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kudhamini michuano ya Kombe la Shirikisho. Michuano hiyo ambayo ilijulikana kama Kombe la Fat  au FA itadhaminiwa na kampuni hiyo kuwa ya mambo ya habari kwa thamani ya Sh bilioni 3.3. Rais wa TFF, Jamal Malinzi ameshindwa kuficha furaha yake kutokana na udhamini huo mnono wa Azam Media. KOCHA...
RATIBA YA RAUNDI YA KWANZA YA KOMBE LA FA Ruvu Shooting vs Cosmopolitan Abdajalo Dar vs Transcamp AFC vs  Polisi Mara Polisi Tabora vs Green Warriors Kariakoo Lindi vs Changanyikeni Dar Mkamba Rangers vs Ruvuma FC ya Kigoma Rhino ya Tabora vs Alliance FC ya Mwanza Panone vs Cocacola Kwanza ya...
Wakati viongozi wengi wa siasa na wale wa serikali wanaona michezo ni kama burudani tu, England imefanikiwa kuingiza mamilioni ya fedha kwa mwaka jana tu na kujiongeza kiuchumi kupitia soka. Watalii wanaofikia 800,000 kutoka nje ya England wametembelea nchini hiyo kwenye viwanja mbalimbali vya mpira wa miguu na kuisaidia England kuingiza pauni milioni 684. Fedha hizo zingeweza...
LIGI KUU ENGLAND RATIBA: Jumamosi Septemba 12 14:45 Everton v Chelsea 17:00 Arsenal v Stoke 17:00 Crystal Palace v Man City 17:00 Norwich v Bournemouth 17:00 Watford v Swansea 17:00 West Brom v Southampton 19:30 Man United v Liverpool Jumapili Septemba 13 15:30 Sunderland v Tottenham ...
SIMBA SC inafunga safari leo kutoka Zanzibar kwenda Tanga tayari kwa mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Jumamosi dhidi ya wenyeji wao, African Sports. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe amesema baada ya maandalizi ya tangu Julai, anaamini kabisa kikosi sasa kipo tayari kwa Ligi Kuu. “Mwalimu alipatiwa kila alichohitaji katika maandalizi....
Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Rhys Torrington (kulia) akibadilishana mikataba na Rais wa TFF, Jamal Malinzi leo  RATIBA YA MECHI ZA RAUNDI YA KWANZA  AFC vs  Polisi Mara Polisi Tabora vs Green Warriors Kariakoo Lindi vs Changanyikeni Dar Mkamba Rangers vs Ruvuma FC ya Kigoma Rhino ya Tabora vs Alliance FC ya Mwanza Panone vs Cocacola Kwanza ya Mbeya Polisi Moro...
Klabu ya Tottenham Hotspur ambayo makao makuu yake ni jiji la London imemzuia winga wa kimataifa wa Korea Kusini Son Heung-Min kununua gari lenye rangi nyekundu. Spurs ambao wanajiandaa na mchezo wa Ligi Kuu weekend hii dhidi ya Sunderland wametoa sharti hilo kwa Son Heung-Min. Kwa...
. Kazi yangu ni kuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia na hapa ninayo stori iliyochukua headlines Sept 9,2015 ya msanii wa Hip Hop kutokea 96.0 (Tanga) Roma Mkatoliki ambaye single yake mpya ilizuiliwa kwenye baadhi ya vituo vya radio nchini. Msanii huyo alipokutana...
Kila siku team ya Hekaheka kutoka Clouds FM imekua ikituletea matukio mbalimbali yanayotokea ndani ya familia zetu. Hekaheka ya leo inatokea Kahama ambapo mtoto wa miezi mitano aling’atwa na punda na kisha kukimbia naye umbali wa mita kama 300. Shuhuda wa tukio hilo amesema mtoto...
Cristiano Ronaldo ni staa mkubwa kwenye soka, YES… Dunia inamjua, hii ni kumaanisha kwamba hata wasio na ushabiki kwenye soka jina lake wanalijua !! Mastaa kama Michael Jordan wamestaafu kwenye Michezo lakini majina yao yako juu bado kutokana na kujiingiza pia kwenye biashara kubwakubwa...

waliotembelea blog