Usiku
huu EUROPA LIGI watakamilisha Mechi zao za Marudiano za Robo Fainali na
Timu 4 Washindi zitaingizwa kwenye Droo ya kupanga Mechi za Nusu
Fainali ambayo pia ni huru bila kujali Utaifa. Mechi za Nusu Fainali za EUROPA LIGI zitachezwa Mei 7 na 14 ni Marudiano.
Kocha wa Napoli Rafael Benítez akiteta na Gökhan Inler MazoeziniKocha wa Napoli Rafael BenítezKocha
wa Napoli Rafael Benítez(kulia)...
Thursday, April 23, 2015



Ijumaa
Aprili 24 Mchana huko Nyon, Uswisi kwenye Makao Makuu yao, UEFA
itaendesha Droo maalum za kupanga Mechi za Nusu Fainali za Mashindano
yao makubwa kwa Klabu za Ulaya yale ya UEFA CHAMPIONS LIGI na EUROPA
LIGI. Jana UEFA CHAMPIONS LIGI ilikamilisha Mechi zao za Marudiano za Robo Famili na Timu 4 zimetinga Nusu Fainali. Timu
hizo 4 ni Mabingwa Watetezi Real Madrid na wenzao wa Spain,...


Wachezaji wa Simba wakishangailia baada ya kupata bao.
Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akipokea mpira kutoka kwa mwamuzi,
Jacob Odongo kutoka Mkoa wa Mara baada ya kufunga 'hat trick' katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara dhidi ya Mgambo Shooting mchezo
uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa.
Mshambuliaji
wa Simba, Emmanuel Okwi akimtoka beki wa Mgambo Shooting, Bashiru
Chanache...
Subscribe to:
Posts (Atom)