
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Antony Mtaka pamoja na Waziri wa Ujenzi Profesa
Makame Mbarawa kuashiria ufunguzi wa barabara ya Barabara ya
Bariadi-Lamadi yenye kilometa 71.8.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiweka jiwe la ufunguzi wa barabara ya
Bariadi-Lamadi yenye kilometa 71.8 wengine katika picha ni Mkuu
...