Monday, March 17, 2014

Leo Messi amefunga magoli matatu kwenye mechi kati ya Barcelona na Osasuna, magoli haya yamemfanya afikishe jumla ya magoli 371 akiwa na Barcelona na kumfanya awe mfungaji bora wa klabu hiyo. Kabla ya mechi ya leo Paulino Alcantara ndiye alikuwa mchezaji aliyefunga magoli mengi kuliko wote lakini magoli matatu ya Messi yamemfanya Muargentina huyu kuwa kinara wa kufunga magoli kwenye...
Wachezaji wa Galatasaray wakiongozwa na  Didier Drogba wakiwasili nchini England tayari kukipiga na Chelsea siku ya jumanne kwenye michuano ya Uefa champions. Timu ya Galatasaray iliwasili mida ya kumi jioni jumapili kwenye uwanja wa ndege wa Heathrow na kupokelewa na kundi kubwa la mashabiki waliokuwa wamekusanyika kwenye uwanja. Mechi baina ya timu hizi mbili inategemewa...
ARSENAL imepata ushindi mwembamba wa bao 1-0 dhidi ya Tottenham Hotspur Uwanja wa White Hart Lane mjini London jioni hii katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Shukrani kwake Tomas Rosicky aliyefunga bao hilo dakika ya pili tu akimalizia pasi ya Alex Oxlade-Chamberlain...
Steven Gerard alifunga mikwaju miwili ya penalty na kukosa ya tatu Liverpool ikiendelea kuimarisha matokeo yake baada ya kuwacharaza mabingwa watetezi wa ligi ya uingereza Machester United tatu bila katika uga wao wa nyumbani Old Trafford. Katika kile kilichoonekana kama harakati za kushinda taji lao la kwanza tangia mwaka 1990,Liverpool ilipita mtihani wao kwa kuonyesha mchezo mzuri...

waliotembelea blog