Benteke
dakika ya 26 aliiwezesha Liverpool kupata bao la kuongoza katika
kipindi cha kwanza, Bao lililowashangaza wapinzani wao AFC Bornemouth
wakiduwaa pia wakitegemea refa mshika kibendera wakiona kama ni la
kuotea kumbe la! VIKOSI:Liverpool XI: Mignolet, Clyne, Lovren, Skrtel, Gomez, Henderson, Milner, Coutinho, Lallana, Ibe, BentekeLiverpool Akiba: Bogdan, Toure, Firmino, Moreno, Can,...
Monday, August 17, 2015



Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff
Hamad akimlaki mgombea urais kupitia Ukawa Edward Lowassa wakati
alipowasiri visiwani Zanzibar kusawaka wadhamini wa kumdhami ikiwa
sehemu ya masharti ya kugombea urais katika uchaguzu mkuu oktoba 25 na
26 mwaka huu.
Mwenyekiti mwenza wa Ukawa James Mbatia naye akilakiwa na Katibu mkuu wa Cuf Maalif Seif Shariff Hamad l...



YANGA
SC imesema kwamba imemsainisha Mkataba wa miaka miwili beki wa kati wa
kimataifa wa Togo, Vincent Bossou baada ya kufaulu majaribio.
Bossou
amefanyiwa majaribio kwa wiki moja katika kambi ya Tukuyu Mbeya,
ikiwemo kucheza kwa dakika 45 mchezo wa kirafiki dhidi ya Mbeya City
jana Uwanja wa Sokoine, Mbeya.
Katika
mchezo huo ambao Yanga SC ilishinda 3-2, Bossou aliondoka uwanjani
Yanga...
Subscribe to:
Posts (Atom)