Friday, July 11, 2014

Bingwa mara tatu Ujerumani na bingwa mara mbili Argentina zitagombania dola milioni 35 kwenye mechi ya fainali ya kombe la dunia Jumapili Julai tarehe 13 mjini Rio De Janeiro. Shirikisho la kimataifa Fifa limetoa jumla ya dola milioni 576 kushindaniwa kwenye mashindano ya...
FIFA yakatalia mbali rufaa ya Suarez Shirikisho la soka Duniani FIFA limekatalia mbali ombi la rufaa la mchezaji wa Uruguay Luis Suarez dhidi ya marufuku yake ya mizi minne kwa kosa la kumng'ata Mlinzi wa Italia . ...
Papa Francis na Papa Benedict kushabikia fainali ya kombe la dunia ? Je ushawahi kushabikia smechi ya kandanda baina ya mahasimu wawili wa jadi ? Sasa hebu fikiria Mashabiki wa mechi ya fainali ...
  KATIKA fainali za mwaka 1986, Diego Maradona aliifungia Argentina au kutoa pasi za mwisho katika mabao 10 ya nchi hiyo. Mwaka huu, Messi amefunga au kutoa pasi katika mabao 8 ya Arggentina. Maradon pia alikabiliana na Ujerumani (Ujerumani Magharibi kwa wakati huo) katika mchezo wa fainali, lakini hakufunga goli katika mechi hiy...
  Carlos Queiroz alijiuzulu nafasi yake ya ukocha wa timu ya taifa ya Iran baada ya nchi hiyo kutolewa hatua ya makundi katika fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil. Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Mtandao 0712461976 HAPA tunaangalia kwanini Asia imeshindwa kufanya vizuri katika fainali za kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil. 1.     UKOSEFU...
  Kwenye rada: Beki wa Atletico Madrid, Javi Manquillo anatakiwa na Arsenal. KLABU ya Arsenal inafanya jitihada za kumsajili beki wa kulia wa Atletico Madrid , Javi Manquillo. Washika mtutu hao wa London wanataka kumsajili beki huyo wa Hispania kwa lengo la kuongeza ushindani katika nafasi ya beki wa kulia msimu ujao. Kama watakamilisha usajili huo, basi...
  Hisia: Neymar alimwaga machozi, huku akiweka wazi kuwa alikaribia kuwa kichaa baada ya Juan Zuniga kumfanyia faulo mbaya kwenye mchezo wa robo fainali ya kombe la dunia dhidi ya Colombia. NYOTA wa Brazil, Neymar Jr amefichua siri kuwa alishindwa kuzuia machozi na alikaribia kuwa kichaa baada ya kugongwa na Juan Zuniga na kuvunjika mfupa wa uti wa mgongo. Neymar...
Usajili mzuri: Kuna imani kuwa Asernal wanaweza kufanya makubwa msimu ujao baada ya kumsajili  Sanchez. Maisha mapya: Alexis Sanchez akipozi katika picha akivalia jezi yake ya Asernal kama ishara ya kufungua ukurasa mpya wa maisha ya soka.  ARSENAL imekamilisha usajili wa mshambuliaji wa Barcelona, Alexis Sanchez – kwa dau la paundi milioni 30. Kwa usajili...
Tabasamu kubwa: Mshambuliaji wa Man City ambaye hajatulia , Alvaro Negredo akicheka wakati alipokuwa anapenda ndege kwenda Dundee. KIKOSI cha mabingwa wa England, Manchester City kimekwea pipa kwenda Dundee tayari kuanza ziara yao ya maandalizi ya msimu huko Scottish. Katika msafara huo, pia umemjumuisha mshamabiliaji ambaye hajatulia kwa sasa, Alvaro Negredo...
  Gwiji: Mourinho (kushoto alimleta Drogba katika klabu ya Chelsea mwaka 2004 akitokea Marseille ya Ufaransa. KLABU ya Chelsea inaangalia uwezekano wa kumrudisha Didier Drogba katika dimba la Stamford Bridge. Nyota huyo mwenye miaka 36 anazivutia klabu za Qatar, wakati Juventus nao wakifikiria kumnasa mkongwe huyo anayecheza katika klabu ya Galatasaray ya Uturuki. Bado Jose Mourinho...

waliotembelea blog