Monday, September 1, 2014

Manchester United imekubaliana na AS Monaco ya France kumsaini Straika wa Colombia Radamel Falcao kwa Mkopo na wakati huo huo Straika wao Javier Hernandez anahamia Real Madrid ya Spain pia wa Mkopo. Falcao anatarajiwa kuwasili Jijini Manchester kupimwa afya yake na tayari Chicharito nae yuko huko Madrid kupimwa afya. Falcao alijiunga na AS Monaco Mei 2013 kwa Dau la Pauni Milioni 50 kutoka...
Gari ya Polisi iliyoibuka kumuokoa Diamond kufuatia sakata la mashabiki wake kupandwa na jazba Sehemu ya ukumbi ulioharibiwa vibaya na washabiki mjini stuttgart,ujerumani Stuttgart,Ujerumani, Usiku wa Jumamosi ya Tarehe 30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri Mwanamuziki nyota wa Bongo Flaver Nasib Abdul aka Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa...
KLABU ya Manchester United imeshinda mbio za kuwania saini ya mshambuliaji Radamel Falcao kutoka Monaco kwa mkopo wa mwaka mmoja. Mpachika mabao huyo ataigharimu klabu hiyo ya Old Trafford Pauni Milioni 12 kwenda kuungana na Angel di Maria, Daley Blind, Luke Shaw, Ander Herrera na Marcos Rojo katika orodha ya wachezaji wapya kwenye kikosi cha Louis van Gaal. Mchezaji huyo wa kimataifa...
Beki wa kati wa klabu ya Arsenal Laurent Koscielny ameondolewa katika kikosi chake cha cha timu ya taifa kwa sababubu ya majeraha ya kichwa yaliyompata baada ya hapo jana kugangana na mchezaji wa klabu ya Leicester City,Jeffrey Schlupp katika mchezo uliofanyika dimani King Power na timu zote kutoka sare ya goli 1-1. Koscienly akipoke matibabu uwanjani mara baada ya kugongana kichwa...
Wachezaji Liverpool wakishangilia ushindi Ligi kuu ya England ambayo imendelea jumapili kwa timu sita kujitupa uwanjani katika michezo mitatu. Katika mechi ya kwanza Meneja wa Liverpool...

waliotembelea blog