Kocha wa Bournemouth ya England Eddie Howe Kocha
wa timu ya soka Bournemouth ya England Eddie Howe ametajwa kuwa meneja
bora wa mwaka wa shirikisho la mameneja wa soka nchini Uingereza LMA.Kutajwa
kwa meneja huyo kunakuja kufuatia kuiongoza kwa mafanikio klabu yake
ambayo imeingia ligi kuu ya England kwa mara ya kwanza tokea ianzishwe
zaidi ya miaka 100 iliyopita. Howe anakuwa kocha wa...
Wednesday, May 27, 2015


Shirikisho
la Mpira wa Miguu Barani Afrika -CAF leo hii limeipa Tanzania uenyeji
wa fainali za michuano ya Afrika ya vijana umri chini ya miaka 17 mwaka
2019. Uenyeji huu ni hatua muhimu sana kwa Tanzania katika kukuza
soka la vijana na kwa hatua hii Tanzania itacheza moja kwa moja fainali
hizi. Katika kuandaa kikosi bora cha kushiriki fainali hizi
Tanzania, mwezi Juni mwaka huu TFF itaandaa...


Klabu
ya Spain, Sevilla, Jumatano wanawania kuweka Historia ya kuwa Klabu ya
kwanza kutwaa Kombe la EUROPA LIGI kwa mara ya 4 watakapokuwa ndani ya
National Stadium Mjini Warsaw, Poland, kucheza Fainali na Klabu ya
Ukraine, FC Dnipro Dnipropetrovsk.
Sevilla wametwaa Kombe hili mara 3 katika Miaka ya 2006, 2007 na 2014. Mbali
ya kuwania kuwa Klabu ya kwanza kulibeba Kombe mara 4, Sevilla...



Dutchman Mart Nooij, kocha wa timu ya soka ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars).
Kamati
ya utendaji ya Shirikisho la soka nchini Tanzania TFF, imeamua kuwa
kocha Mkuu wa timu ya taifa Mart Nooij apewe changamoto ya kufaulu
kucheza fainali za michuano ya CHAN mwakani, akishindwa aondoke. Nooij
raia wa Uholanzi ambaye kikosi chake hakikufanya vizuri katika michuano
ya kusaka taji la COSAFA...


Wachezaji
wawili wa klabu ya soka ya TP Mazembe nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya
Congo wakiongozwa na mlinda mlango Robert Muteba Kidiaba, wamewasilisha
maombi ya kuwania ubunge katika jimbo la Katanga. Pamoja na Kidiaba
ambaye anafahamika sana kwa mtindo wa kusherehekea bao kwa kuruka kwa
makalio, Pamphile Mihayo Kazembe pia ni mchezaji mwingine wa TP Mazembe
anayewania ubunge kupitia...


Kocha
wa Spain Vicente del Bosque amewaita Vijana wapya wawili wa Sevilla,
Sergio Rico na Aleix Vidal, kwa ajili ya Mechi zao za Juni dhidi ya
Costa Rica na Belarus na kumwacha Straika wa Chelsea Diego Costa.Kipa
Rico, Miaka 21, na Winga Vidal, Miaka 25, wamekuwa waking'ara Msimu huu
na Sevilla ambayo imemaliza La Liga ikiwa Nafasi ya 5 na Jumatano Mei
27 huko Stadion Narodowy Mjini...
Subscribe to:
Posts (Atom)