Thursday, January 16, 2014

LEO FIFA imetangaza Listi ya Ubora Duniani na hakuna mabadiliko yeyote kwa Timu 25 za Juu na Spain, Mabingwa wa Dunia, wakibakiNambari Wani huku Tanzania ikipanda Nafasi mbili na sasa iko ya 118. Kwa Nchi za Afrika, Ivory Coast ndio iko Nafasi ya juu kabisa ikikamata Nafasi ya 17. Listi nyingine ya Ubora Duniani itatolewa Tarehe 13 Februari 2014. 20 BORA: 1       ...
Mwonekanao wa daraja kabula alijazinduliwa Mkuu wa mkoa wa KAGERA, Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE akipunga mkono kabla ya kukata UTEPE Baada ya kuzindua DARAJA Mkuu wa mkoa wa KAGERA, Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE Viongozi mbalimbali wakishuhudia uzinduzi huo uliofanyika leo kwenye uzinduzi wa Daraja la Mto kanoni Mkuu wa mkoa wa KAGERA Kanali mstaafu Fabian Massawe akitoa...
WENYEJI South Africa jana wametoka Sare ya Bao 1-1 na Mali katika Mechi ya Kundi A la Orange CHAN 2014, Mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wanaocheza ndani ya Nchi zao, iliyochezwa jana jioni huko Cape Town Stadium, Mjini Cape Town. South Africa ndio waliopata Bao mwanzoni kwa Penati ya Bernard Parker kwenye Dakika ya 25 na Mali kusawazisha katika Dakika ya 54 kwa...

waliotembelea blog