Huku hali ya mshikemshike ikiendelea kushuhudiwa
katika jengo la Westgate lenye maduka, ufyatulianaji risasi umesikika
ndani ya jengo hilo lenye maduka na mikahawa zaidi ya themanini.
Milio hiyo ilidumu kwa dakika tatu na kufuatiwa
na moshi mkubwa juu ya jengo hilo. Hakuna taarifa kamili kuhusu
kilichosababisha moshi huo.
Wapiganaji...
Monday, September 23, 2013


MCHEZAJI ghali wa Arsenal, Mesut Ozil ameendelea kulipa
Pauni Milioni 43 zilizotolewa kumnunua kutoka Real Madrid baada ya kutoa
pasi zote za mabao matatu, The Gunners ikishinda 3-0 Uwanja wa Emirates
dhidi ya Stoke City na kupanda kileleni mwa Ligi Kuu ya England.
Aaron Ramsey alifunga bao lake la saba msimu huu dakika ya
tano baada ya akimalizia mpira wa adhabu uliopigwa na Ozil,...



Huku hali ya mshikemshike ikiendelea kushuhudiwa
katika jengo la Westgate lenye maduka, ufyatulianaji risasi umesikika
ndani ya jengo hilo lenye maduka na mikahawa zaidi ya themanini.
Milio hiyo ilidumu kwa dakika tatu na kufuatiwa
na moshi mkubwa juu ya jengo hilo. Hakuna taarifa kamili kuhusu
kilichosababisha moshi huo.
Wapiganaji wa Al...


Show
ndio kwanza imeanza hapa kwenye uwanja wa Kambarage 87.5 Shinyanga mtu
wangu ambapo wakali kama Ney wa Mitego, Juma Nature, Linah, Stamina, Young Killer, Dudubaya, Godzilla, Nikki wa II, Joh Makini na G Nako ni
baadhi tu ya watakaoonekana kwenye
stage usiku huu hapa Shy Town.
...



Mwandishi Jamal Osman amefanya mahojiano exclusive na msemaji wa kundi
la kigaidi la Al-Shabaab kuhusiana na sababu za kuishambulia mall ya
Westgate.
Hii ni tafsiri ya Kiswahili ya mahojiano hayo yaliyofanywa kwa
Kiingereza kwenye mtandao wa Channel4
Jamal Osman: Kwanini mmefanya shambulio?
Msemaji wa Al-Shabaab: Sababu ya
kufanya shambulio ni kuwalinda watu wetu na...


Possibility: The idea that Samantha Lewthwaite,
29, of Buckinghamshire, might have ordered the attack - or even led it
herself - is not far-fetched at all
Last night, as the bodies were still
being counted at the shopping mall, one British woman was notably slow
to join the condemnation.
For
Samantha Lewthwaite, the daughter of a former British soldier...
Subscribe to:
Posts (Atom)