Thursday, July 17, 2014

Na Baraka Mpenja, Dar es salaam Imechapishwa Julai 18, 2014, saa 2:41 asubuhi WAGONGA nyundo wa Mbeya, Mbeya City fc wapo katika mkakati mzito wa kurejea na nguvu mpya kwenye michuano ya ligi kuu, msimu wa 2014/2015 unaotarajia kuanza kushika kasi septemba 20 mwaka huu. Klabu hiyo inayonolewa na kocha maarufu nchini na kocha bora wa msimu uliopita, Juma Mwambusi ina nia ya kutwaa ubingwa...
+9 Tangazo rasmi: Arsenal walitangaza hadharani usajili huo kupitia mtandao wake wa Twita ambapo waliweka picha na ujumbe. Imechapishwa Julai 18, 2014, saa 1:45 asubuhi KLABU ya Arsenal imemsajili beki wa kulia wa Ufaransa Mathieu Debuchy kutokea  klabu ya Newcastle. Debuchy, mwenye miaka 28, amesajiliwa kwa nia ya kuziba pengo la beki wa kulia, Mfaransa mwenzake, Bacary...
Imechapisha Julai 18, 2014, saa 1:00 asubuhi NAHODHA wa zamani wa Manchester United na England, Rio Ferdinand amesaini mkataba wa mwaka mmoja katika klabu ya QPR, klabu hiyo mpya iliyopanda daraja imethibitisha. Mtandao wa Goal.com uliripoti mwezi juni mwaka huu kuwa klabu hiyo iliyopanda ligi kuu ilikuwa na nia ya kumsaini Ferdinand baada ya kumaliza mkataba na klabu yake ya Man United. Ferdinand...
Viongozi wa klabu ya Azam Fc Mwenye Kiti Saidi Muhamed, Katibu Mkuu Nassoro Idrisa pamoja na Meneje Jemedali Saidi walipo watembelea Majeruhi Joseph Kimwaga pamoja na Frank Domayo Katika Hostel za Azam Complex iliyopo chamazi. Wachezaji hao kwa hivi sasa wanaendelea vizuri baada ya kupatiwa matibabu Afrika ya kusini...
+3 Mtabakia: Louis van Gaal amesema atawatafutia kazi Paul Scholes na Phil Neville. Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 12:36 jioni LOUIS van Gaal ameahidi kuwajumuisha Paul Scholes na Phil Neville katika benchi la ufundi la Manchester United. Mholanzi huyo aliyeanza kazi rasmi United wiki hii amesema atawatafutia kazi ya kufanya katika benchi lake. Ryan Goggs tayari alishateuliwa...
Bosi mpya: Louis van Gaal alifanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari leo tangu ajiunge na Manchester United. LOUIS van Gaal amesema Manchester United ni klabu kubwa duniani, lakini inatakiwa kujijenga upya baada ya kuvurunda msimu uliopita. Van Gaal amefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari tangu ajiunge na Man United baada ya kumaliza...
Usajili mpya na mikataba mipya kwa wachezaji vinara ndio shughuli kuu inayoendelea sasa kabla msimu mpya wa michuano kuanza. Pamoja na kasheshe zinazomuandama, Suarez sasa yuko Bacelona 100% baada ya kuihama Liverpool, nae Demba Ba tayari amewasili Uturuki anakotarajiwa kukamilisha...
Ujerumani imechukua namba moja katika msimamo wa Fifa kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 24. Mabingwa hao mara nne, wamechukua nafasi iliyokuwa inashikiliwa na Spain. Argentina ni ya pili, na Uhoanzi ni ya tatu. Spain imeporomoka hadi namba nane. Ureno namba 11, Italy 14...
Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Lina Kessy ameteuliwa kuwa Ofisa Michezo wa Umoja wa Afrika (AU). Uteuzi huo umefanywa na Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Nkozasana Dlamini-Zuma, na Lina atatumikia nafasi hiyo kwa mkataba wa miaka mitatu katika makao makuu ya AU yaliyopo Addis Ababa, Ethiopia. Lina ambaye pia ni Mwenyekiti wa...
Na Boniface Wambura, Dar es salaam Timu ya Taifa ya Msumbiji (Mambas) inawasili Dar es Salaam kesho (Julai 18 mwaka huu) kwa ajili ya mechi ya michuano ya Afrika dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumapili, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Mambas itatua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) saa 7.30 mchana kwa ndege ya LAM ikiwa na msafara wa watu 37...
Na Boniface Wambura, Dar es salaam Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 8:43 mchana Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Hababuu Ali Omari amesema morali ya wachezaji wake ipo juu kwa ajili ya mechi dhidi ya Afrika Kusini (Amajimbos) itakayochezwa kesho (Julai 18 mwaka huu).  Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika kwa vijana wenye umri chini ya miaka 17 itafanyika...
Mwinyi Kazimoto Mwitula (kulia) akifanya vitu vyake kwenye moja ya mechi za Taifa Stars siku za nyuma Na Boniface Wambura, Dar es salaam Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 8:27 mchana Kikosi cha Taifa Stars kimerejea jijini Dar es Salaam leo kutoka Mbeya ambapo Jumapili (Julai 20 mwaka huu) kitapambana na Msumbiji (Mambas) kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Benchi ...
Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 8:23 mchana Timu ya Azam Fc leo imepata ushindi wa magoli mawili kwa moja Dhidi ya Jkt Ruvu katika mchezo wa kirafiki uliochezwa kwenye Uwanja wa chamazi Complex uliopo chamazi. Azam ndio walioanza kufunga magoli hayo kupitia kwa Kavumbagu na Kipre Tchetche kipindi cha kwanza wakati bao la JKT ruvu likifungwa na Ally Bilali. Katika Mchezo huo Kocha...
 Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akimkabidhi vifaa Makamu wa Rais wa Simba SC, Geoffrey Nyange. (Picha: Executive Solutions).  Meneja wa Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akimkabidhi vifaa Mkurugenzi wa Masoko wa Yanga, George Simba. Anayeshuhudia ni Hafidh Saleh, Meneja wa Yanga. (Picha: Executive Solutions).  Meneja wa Kilimanjaro...
Anaenda Magharibi: Rio Ferdinand anatarajia kujiunga na QPR baada ya kuondoka Manchester United. Imechapishwa Julai 17, 2014, saa 6:46 mchana BEKI mkongwe, Rio Ferdinand hatarithi mikoba ya unahodha wa Clint Hill katika klabu ya QPR mara atakapokamilisha uhamisho wake. Ferdinand anamalizia taratibu za kujiunga na klabu hiyo ya Magharibi mwa London na anatarajiwa kusaini mkata...
 MARIO Gotze, maisha yanamwendea safi kabisa. Akitokea kushinda  kombe la dunia na nchi yake ya Ujerumani baada ya kufunga bao la dakika za nyongeza, mshambuliaji huyo wa Bayern Munich ameanza likizo akiwa na demu wake kipenzi,  Ann-Kathrin Brommel maeneo ya Ibiza. Wawili hao wamepigwa picha wakifurahia maisha kwenye jua tamu  juu ya boti. Angalau nyota huyo mwenye...

waliotembelea blog