Friday, October 9, 2015

Theo Walcott aitanguliza England mbele.Theo akishangilia goli lake usiku huuTheo Walcott kaifungia England bao dakika ya 45 na kuongoza kwa bao 1-0 dhidi timu ya Estonia, Bao la pili limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 85 na mtanange kumalizika kwa bao Bao 2-0 England wakiibuka na Ushindi.Sir Bobby Charlton akipata picha ya pamoja na Wayne Rooney baada ya kupewa kiatu cha dhahabu kwa...
Sunderland imemteua Sam Allardyce kuwa Meneja wao mpya kwa Mkataba wa Miaka Miwili. Sunderland wamekuwa hawana Meneja tangu Jumapili iliyopita baada ya Dick Advocaat kutimka akiiacha Klabu hiyo ikiwa Nafasi ya Pili toka mkiani mwa Ligi Kuu England. Advocaat, Raia wa Holland mwenye Miaka 68, aliteuliwa kushika wadhifa wa Umeneja wa Sunderland Mwezi Machi wakati Timu ikiwa hatarini kushuka...
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager kimewasili salama katika mji wa Blantyre nchini Malawi jioni ya leo tayari kwa mchezo wa marudiano siku dhidi ya wenyji siku ya jumapili. Stars inayonolewa na makocha wazawa Charles Boniface Mkwasa na Hemedi Morocco iliondoka leo kwa usafiri wa shirika la ndege la Fastjet na kuwasili...
Jurgen Klopp amekubali kuwa Meneja wa Liverpool kwa Mkataba wa Miaka Mitatu ambao anatarajiwa kuusaini Leo na Ijumaa kuanuliwa rasmi kama Meneja ,pya. Klopp, Mjerumani mwenye Miaka 48, anamrithi Brendan Rodgers aliefukuzwa Jumapili iliyopita baada ya kudumu Miaka 3 ½ lakini Msimu huu Timu inasuasua na ipo Nafasi ya 10 kwenye Ligi Kuu England. Klopp amekuwa hana kibarua tangu Mei alipoondoka...
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) leo limeingia mkataba wa miaka mitatu wenye thamani ya shilingi milioni mia nne hamsini (450,000,000), na kituo cha luninga cha Star Tv kurusha matangazo ya Ligi Daraja la Kwanza nchini (FDL). Akiongea na waandishi wa habari wakati wa kusaini mkataba huo, Rais wa TFF Jamal Malinzi aliishukuru kampuni ya Sahara Media Group kwa kuamua kuwekeza katika...
Jioni ya October 7 klabu ya Liverpool ya Uingereza ilitangaza rasmi kuingia mkataba wa miaka mitatu na kocha Jurgen Klopp na kujiunga na klabu hiyo, taarifa zilizotoka  Ijumaa ya October 8 ni kuwa atatambulishwa mbele ya...
Michuano ya mechi za kuwania kufuzu michuano ya Euro 2016 bado inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa, kwa upande wa timu ya taifa ya Ureno ambao walishinda kwa goli 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Denmark . Baada ya ushindi huo Ijumaa ya October 9 Cristiano Ronaldo alipiga picha za mlo wake...
Baada ya klabu ya Liverpool kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Brendan Rodgers kutokana na mwenendo mbovu wa timu yao, watu mbalimbali katika uchambuzi wa masuala ya soka wamekuwa wakizungumza mitazamo tofauti tofauti kuhusiana na maamuzi hayo. October 9 kocha wa klabu ya Arsenal...
Michuano ya kuwania kufuzu kucheza Euro 2016 imeendelea kwa michezo kadhaa kupigwa katika viwanja mbalimbali, moja kati ya mechi zilizochezwa usiku wa October 9, timu ya taifa ya Uingereza ilikuwa mwenyeji wa timu...

waliotembelea blog