Prezzo during his time in the BBA
By Cyrus Ombati
...
Saturday, September 21, 2013



Kundi la Wanaume TMK Halisi likiongoza
na msanii nguli Juna Nature
wakilishambulia
vyema jukwaa usiku huu kwa staili
yao mapanga shaa
shaa,huku mayowe yakipigwa kutoka mashabiki.
Kila shabiki alikuwa na mzuka wake.
Msanii mwingine anaefanya vyema hivi sasa
katika anga ya muziki wa
Bongofleva,Rich Mavoko akiwaimbisha
mashabiki wake usiku huu,mbele
ya...



BAADA ya Chelsea kucheza mechi nne katika mashindano
yote bila kupata ushindi, Jose Mourinho ameibuka na kusema chanzo cha
yote hayo ni mmiliki wa timu hiyo, Roman Abramovich.
Mourinho amesema shauku ya bilionea huyo kutaka kuona timu inatandaza
soka ya kuvutia dimbani ndiyo chanzo cha matatizo yote.
“Hatufungi mabao, hiyo ni dhahiri,” alisema Mourinho.
“Huwezi kusema
hatufungi...



Sam ameeleza kuwa hakuna kitu
kinachomuuma sana kama siku alipomdondosha mdogo wake chini na
kumsababishia kifo kutokana na kuanguka kwake,msanii huyo amesema kuwa
kisa hicho kilitokea wakati mama yake akiwa shambani na kumuacha sam na
mdogo wake na ilipofika mchana sam aliyekuwa kambeba mdogo wake huku
akitokea ndani ndani akiwa kabeba uji wa huyo mtoto,ila kwa bahati mbaya
sam alijikwaa...


Mdau
wa michezo na mwanamichezo wa sports extra wa Clouds Fm (kushoto) Bw.
Shaffih Dauda akiteta jambo na Mrisho Mpoto na (katikati) ni Ruge
Mtahaba Mkurugenzi wa Vipindi,Uzalishaji na Mipango wa Clouds Group
mapema na kabla ya semina kuanza kwenye ukumbi wa Lina's Club Bukoba
mjini.
Mghani
mahiri wa mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto akizungumza kwa
msisitizo,masuala ya fursa mbalimbali...
Subscribe to:
Posts (Atom)