Thursday, November 14, 2013

Kupitia kipindi chake cha ‘In My Shoes’ cha jana, Wema Sepetu alieleza jinsi alivyojisikia baada ya baadhi ya waigizaji wenzie wa Bongo Movie kugoma kuhudhuria msiba wa baba yake, Balozi Isaac Abraham Sepetu, mwishoni mwa mwezi uliopita kwa madai kuwa yeye hakuwa akifanya hivyo kwenye misiba mingine. “Imeshatokea, wameacha kuja kwenye msiba, ni wao,” alisema Wema. Sio Bongo movie nzima, ni...
WAKATI hatima ya kutiwa saini mkataba wa amani kati ya Serikali ya DRC na waasi waliosambaratishwa wa M23 ikiwa haijulikana, uhusiano wa maswahiba wawili wa eneo la Maziwa Makuu, Rais Yoweri Museveni wa Uganda na Paul Kagame wa Rwanda umetikisika baada ya Museveni kumtaka mwenzake huyo azungumze na waasi. Ni ushauri kama huo aliopewa Kagame Mei mwaka huu na Rais Jakaya Kikwete...
Gari namba T606 BJB  lilolokuwa linaelekea Ifunda kutoka stand kuu ya Iringa limepata ajali ya kuligonga Lori namba T 234 CLU Mali ya T.H Clements & Son LTD eneo la Kitwiru, wakati Dereva wake alipojaribu kulipita Lori hilo bila mafanikio   watu watatu wamejeruhiwa. Picha na Said Ng'amilo.(HD) ...
Bob Junior Sharobaro Mwanamuziki kwenye muziki wa kizazi kipya Bob Junior hivi karibuni amefunguka na kuweka wazi sababu zilizomfanya aamue kuachana na mke wake.Katika mahojiano niliyofanya naye kwenye kipindi cha The Takeover, TBC fm, mnamo siku ya Jumanne, Bob Junior alifunguka na kueleza mambo mengi huku akikiri kwamba ni kweli kuwa amemuacha mke wake, "mwanamke anataka kuwa kama mume...
   Jana tuliweka habari hapa  kuwa actress maarufu Bongo Movies Blandina Chagula(Johari) amekwenda Canada kumfuata mpenzi wake raia wa nchi hiyo na pia kutambulishwa ukweni.  Habari mpya ni kuwa baada ya kutambulishwa mipango ya ndoa kati ya johari na mzungu huyo itafanyika ili wawili hao waishi kama mke na mume baada ya mzungu huyo kuwa hoi bin taabani kwa penzi...
Na Mahmoud Zubeiry, Dar es Salaam SIMBA SC inatafuta kipa mzuri wa kumsajili katika dirisha dogo, wakati huo huo inafikiria kuachana na kipa wake, Mganda, Abbel Dhaira ikibidi mapema iwezekanavyo au mwishoni mwa msimu. Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba SC, Zacharia Hans Poppe ameiambia BIN ZUBEIRY leo kwamba, kutokana na kanuni mpya ya usajili wa wachezaji wa kigeni msimu ujao ya wachezaji...
 Mhandisi Silvan Mloka baba wa mtoto muda mchache akiwa nyumbani kwake kashenye kashai bukoba kabla ya kuelekea morogoro                                                    mwili wa mtoto  ukitolewa hospital ya mkoa wa kagera        ...
 Siku zote sitoacha kumshukuru Mungu kwa kila hatua ninayopiga katika safari yangu ya Music,na sitokutendea  haki nisiporudisha shukrani za dhati  kwa wewe shabiki yangu wa kweli unae  endele kunipa sapoti inayonifanya nizdi kukaza  kukutengenezea mambo mazuri zaidi..hii ikiwa ni ziara  yangu mhimu kabisa nchini Naija,kwa ajili ya kupika kile  unachkisubilia...

waliotembelea blog