Wednesday, August 6, 2014

Mmoja wa washiriki wanaounda kikundi cha Street Dance cha Mbagala jijini Dar es salaam, akionyesha umahiri wake wa kudansi wakati wa shindano la robo fainali la Dance 100 lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika Viwanja vya TCC Sigara Chang’ombe hapo jana.Shindano hilo lilishirikisha makundi 15 kutoka wilaya ya Temeke ,Makundi matano yalichagulia kuingia katika Fainali...
Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa albamu ya muziki wa Injili ,Waziri Mkuu mstaafu.Mh.Frederick Sumaye akionesha albamu ya mwanamuziki nyota wa muziki wa injili hapa nchini,Rose Muhando,iliyoitwa Shikilia Pindo la yesu,mara baada ya kuizindua rasmi mbele ya maelfu ya washabiki na wapenzi wa nyimbo hizo za kiroho ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar jana. Waziri Mkuu mstaafu.Mh.Frederick...
Hatima yake shakani: Bado dili la Man United kuendelea kumsajili Arturo Vidal linaendelea. UHAMISHO wa Arturo Vidal kutoka klabu ya Juventus kwenda Manchester United umeingia shakani kwa sababu nyota huyo wa Chile hayupo fiti, hii ni kwa mujibu wa kocha wa timu ya taifa ya Chile. Jorge Sampaoli, alikaririwa huko El Mercurio, akisema bosi wa Man United,...
SIMBA SC imefanya mkutano mkuu wa kawaida wa wanachama Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Bwalo la Maofisa wa Polisi, Osterbay, jijini Dar es salaam ambapo Agenda 13 zilijadiliwa. Moja ya Agenda muhimu katika mkutano huo ilikuwa ile ya wanachama 72 waliosimamishwa uanachama akiwemo Michael Richard Wambura na mabadiliko ya katiba. Kabla ya kufanya uchaguzi mkuu wa Simba juni 29 mwaka...
FRANK James Lampard, mwenye miaka 36, mpaka sasa amecheza mechi 973 kwa klabu na nchi yake katika maisha ya soka. Anahitaji mechi 27 tu kufika digiti nne na kitu hicho anaweza kufanya kupitia michuano ya ligi kuu soka nchini England baada ya kujiunga na Manchester City kwa mkopo kutoka klabu ya New York City mwezi huu. Kiungo huyo mkongwe ataitumikia Man City mpaka mwezi Januari mwakani...

waliotembelea blog