Saturday, February 15, 2014

 Pamoja na kuwa nyuzi joto 44 F siku ya Ijumaa Feb 14, 2013 bado theluji iliyoanguka maeneo ya DMV (DC, Maryland na Virginia) usiku wa kuamkia alhamisi Feb 13, 2014 ilikua haijaeyuka yote na kutokana na magari ya wakazi wa DC kuegeshwa pendezoni mwa barabara na kufanya magari yanayoplao theluji barabarani kuishia kufanya kazi hiyo katikati ya barabara na kutokana na wakazi wengi...
Simba Mbeya City JIJI la Mbeya leo litasimama kwa muda wakati wenyeji Mbeya City watakapoikaribisha Simba kwenye uwanja wa Sokoine likiwa ni moja ya michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara inayochezwa leo nchini. Mechi hiyo inavuta hisia kubwa kuliko hata mechi za kimataifa ambazo timu za Yanga na Azam zilizopo ugenini zitakuwa zikiiwakilisha Tanzania katika kutafuta nafasi ya kufuzu raundi...
    Kubwa kwenye mechi hizo ni Big Match mbili leo Jumamosi na ile ya Jumapili ionayokumbushia mechi za Ligi Kuu ya England watu kutaka kulipizana kisasi. Leo Jumamosi, huko Etihad, Manchester City wataikaribisha Chelsea huku wakikumbuka kufungwa na Chelsea Bao 1-0, wiki iliyopita kwenye Mechi ya Ligi na Jumapili, ndani ya Emirates, Arsenal, watawaalika Liverpool...
  15/02 12:45 Sunderland - Southampton   15/02 15:00 Sheffield Wednesday - Charlton   15/02 15:00 Cardiff - Wigan   15/02 17:15 Manchester City - Chelsea ...

waliotembelea blog