Na Baraka Mpenja, Dar es salaam
YANGA SC itakutana na Azam fc katika mchezo mkali
wa Ngao ya Jamii kuashiria kupenuliwa kwa pazia la ligi kuu soka Tanzania bara
jumapili (septemba 14 mwaka huu) uwanja wa Taifa, jijini Dar es salaam.
Kuelekea katika mchezo huo, mshambuliaji Jeryson
Tegete hayuko fiti kucheza kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya nyonga.
Mbali...
Friday, September 12, 2014


+5
Daniel Sturridge atakaa nje ya uwanja kwa wiki tatu baada ya kupata majeruhi katika mazoezi ya England
BRENDAN Rodgers ameponda matibabu wanayotoa England kwa mshambuliaji wake Daniel Sturridge baada ya kupata majeruhi ya mguu.
Sturridge aliumia ijumaa iliyopita, saa
48 baada ya kucheza dakika 89 katika ushindi wa England wa bao 1-0 dhidi
ya Norway katika mechi ya...


Oscar Pistorius amekutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp
MWANARIADHA Oscar Pistorius anakabiliwa na kifungo gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Jaji wa mahakamu kuu ya Afrika kusini,
Thokozile Masipa mapema laisema siku ya wapendanao 'Valentine Day' mwaka
jana, Pistorius alimpiga risasa mpenzi wake huyo.
Mara...
Subscribe to:
Posts (Atom)