Leo ni siku ya kimataifa ya kupambana na dawa za kulevya na biashara
haramu ya dawa hizo. Umoja wa Mataifa umeitenga siku hii kuuhimiza
ulimwengu kupambana na janga hili ambalo linaathiri hasa vijana kote
duniani.
Ni jukumu la kila mmoja kupambana na dawa
Bado kiwango cha matumizi ya dawa kama vile Heroin, cocaine na
amphetamine hakijashuka lakini mtindo huu wa...
Friday, July 5, 2013



Papa Francis
Wachambuzi wanasema kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis
ameongeza nguvu zaidi katika kushughulikia kashfa zilizoigubika benki ya
Vatican kwa kumuondoa viongozi wa juu wa tasisi hiyo.
Paolo Cipriani na Massimo Tulli, mkurugenzi na naibu wake katika benki
hiyo ya Vatikan walitoa rasmi barua za kujiuzulu kwao jumatatu iliyopita
kwa maslahi ya taasisi hiyo na makao...



Kipre (katikati) wakati akipokea tuzo yake usiku huu. Kushoto ni Waziri
Dk Fenella na kulia Mkurugenzi wa masoko wa Vodacom, Kevin Twisa.
SC, Kevin Patrick Yondan ameteuliwa kuwa mchezaji bora wa
Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2012/2013 na kuzawadiwa donge
nono la Sh. Milioni 5.
Hata hivyo, katika hafla ya kutoa zawadi za washindi wa Ligi Kuu msimu
uliopita kutoa wadhamini,...


Gari la kubeba maiti likiwasili katika eneo la Mvezo Resort kuchukua
mabaki ya miili ya watoto watatu wa Nelson Mandela iliyokuwa imezikwa
kinyemela katika eneo hilo na mjukuu wa kiongozi huyo, Mandela.
Kwa ufupi
Hilo ni kosa na ni kinyume cha sheria za nchi.
Maeneo ya makaburi yanalindwa na sheria hivyo ukienda kuchimbua mabaki...
Subscribe to:
Posts (Atom)