Baada ya dirisha dogo la usajili kwa Ligi Kuu soka Tanzania
bara kufungwa December 15, barani Ulaya ndio stori za usajili zinazidi
kuchukua nafasi. December 31 stori kutoka mtandao wa 101greatgoals.com
unaripoti klabu ya Arsenal ya Uingereza imekamilisha mipango ya usajili ya Mohamed Elneny.
Dirisha dogo la usajili kwa nchi za Ulaya...
Friday, January 1, 2016


Mshambuliaji wa kimataifa wa Mexico anayekipiga katika klabu ya Bayer Leverkusen ya Ujerumani Javier ‘Chicharito’ Hernandez, December 31 amerudi tena katika headlines za soka, baada ya mafanikio yake kuzidi kuonekana. Chicharito amerudi kwenye headlines baada ya kutangazwa kuwa mshindi...
Subscribe to:
Posts (Atom)