Balozi
wa Tanzania nchini Ubelgiji Mheshimiwa Diodorus Kamala[l] akiwa katika
picha ya pamoja na viongozi na wageni waalikwa kutoka mataifa mbalimbali
katika uzinduzi wa filamu za kitanzania ambazo sasa zitakuwa zikiuzwa
online.sherehe hizo za uzinduzi ambazo zilifanyika jijini Brussel nchini
Ubelgiji na kuhudhuriwa na watu mbalimbali.
Mwenyekiti
wa Proin Group Tanzania...
Saturday, May 2, 2015



Watangazaji
wa Clouds FM kupitia kipindi cha Powerbreakfast Gerald Hando pamoja na
Hudson Kamoga wa Clouds TV kupitia kipindi cha Clouds 360 wakifanya
mahojiano na Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini na
kwingineko Diamond Platnum akiwa na mchumba wake Zari the
bosslady,kuhusiana na mambo mbalimbali yakiwemo ya maisha yao na pia
kuhusu onesho lao la Zari White Party...
Subscribe to:
Posts (Atom)