Sunday, March 9, 2014

Young Africans imetolewa kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika na mabingwa watetezi Al Ahly kwa mikwaju ya penati 4-3 kufuatia kumalizika kwa dakika 90 za mchezo Al Ahly ikiwa na bao 1- 0 hivyo kufanya matokeo ya jumla kuwa 1-1 mchezo uliofanyika usiku wa leo katika Uwanja wa El Max jijini Alexadria. Young Africans iliingia uwanjani ikiwa makini na kufanya mashambulizi kadhaa langoni...
Ndugu zangu, Pamoja na kuwa mie si expert wa political science, lakini, kile kidogo ninachokijua naweza kuchangia nanyi. Katika kusoma kwangu Political Science nimesoma pia kwa uchache masuala...
UEFA CHAMPIONS LIGI, inarejea kilingeni kuanzia Jumanne Usiku kwa Mechi mbili na huko Jijini Munich, Uwanjani Allianz Arena ni Mabingwa Watetezi Bayern Munich wakiwakaribisha Arsenal na huko Spain, ndani ya Estadio Vicente Calderon, ni Atletico Madrid na AC Milan.Kwenye Mechi hizo, Timu zote za Nyumbani, Bayern na Atletico, zipo kwenye hali njema baada ya kushinda Mechi zao za Ugenini...
Mchezaji wa Valladolid Fausto Rossi akishangilia bao lake baada ya kuinyuka Barcelona leo hii.BAO la Dakika ya 17 la Fausto Rossi limewapa ushindi Real Valladolid, waliokuwa Nyumbani, wa Bao 1-0 dhidi ya FC Barcelona na kuwanyima Mabingwa hao wa Spain Nafasi ya kushika uongozi wa La Liga.Kipigo hiki kimewabakiza Barca Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 1 nyuma ya Real Madrid ambao wanacheza Jumapili...
Wachezaji wa Chelsea wakipongezana baada ya kufunga bao la nne na la mwisho, Bao mbili zikifungwa na Demba Ba katika dakika za mwishoni na ndani ya muda mfupi. Chelsea wameshinda bao 4-0. Ushindi huu ukiwaweka Kileleni zaidi kwa kupata pointi 66. Eden Hazard akishangilia bao lake la mkwaju wa penati katika dsakika ya 60 kipindi cha pili baada ya Eto'o kuangushwa ndani ya 18 (ndani ya box) eneo...

waliotembelea blog